Recent content by Jehovah Shamah

  1. J

    JamiiForums Tanzania Serikali iliangalie suala la waswahili kufunga barabara za mtaani kisa sherehe na misiba

    Hata Dodoma wanatusumbua mtaa wa kati hapo barabara ya 6
  2. J

    JamiiForums Tanzania MCHUNGAJI AKIRI NCHI KUNYOOKA, ATAJA MIRADI YA JPM KUPAISHA UCHUMI.

    Tanzania Kupaa kiuchumi na kuneemeka miaka ijayo. Mchungaji Michael Nhonya, Katibu Mkuu wa Kanisa la Baptist Tanzania, amesema hana mashaka na mwendo huu wa serikali wa kuibua miradi mikubwa ya Kitaifa kwani uchumi wa Taifa hili utapaa kuelekea uchumi wa kati na kufanana na mataifa mengine...
  3. J

    JamiiForums Tanzania MCHUNGAJI AKIRI NCHI KUNYOOKA, ATAJA MIRADI YA MAGUFULI

    Tanzania Kupaa kiuchumi na kuneemeka miaka ijayo. Mchungaji Michael Nhonya, Katibu Mkuu wa Kanisa la Baptist Tanzania, amesema hana mashaka Tanzania KABISA kwani uchumi wa Taifa hili utapaa kuelekea uchumi wa kati na kufanana na mataifa mengine makubwa kiuchumi, kijamii, na hata kiroho...
  4. J

    JamiiForums Tanzania WALIOOTA MISISI KWENYE UONGOZI

    Natambua kuwa tuna karibia uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kuna watu wako madarakani kwenye mitaa yao kwa muda mrefu..wengine wamefanya vizuri ndiyo maana wapo muda huo wote. Lakini wajitafakari wale waliokaa muda mrefu kuota misisi mitaani je bado wanatosha??
  5. J

    JamiiForums Tanzania Usijaribu peke yako bila Mungu

    Don't spend time beating on a wall, hoping to transform it into a door. Better to walk forward with God even if you fear than go back to the familiarities of the world.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Bora Tanga, Dodoma, Arusha na mwanza. Ndiyo yanafaa kuwa jiji.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Dodoma ni mji mkuu wa nchi. Dodoma ni katikati ya nchi. Mkuubwa nchi anapokaa na serikali yake ni sifa tosha kuitwa jiji. Ikulu inahamia Dodoma. Bunge liko Dodoma. Wizara zote sasa zimeshahamia Dodoma. Mpandisha hadhi ya mji mdogo kuwa jiji ni Tamisemi na Rais. Na waziri wa Tamisemi ni Rais...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa mchungaji kwa wazazi

    Ujumbe wangu kwa Wazazi, juu ya watoto na familia zenu. Ktk maisha kuna mambo makuu matatu hasa hasa mzazi wa kiume (Baba) anapaswa kuyafahamu: 1. Awe baba anaefikika (accesible) 2. Anaepatikana (Available) 3. Anachukulika (Adaptable) Kuna wazazi hata watoto wao hawawafikiii, haongei na...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu wa leo

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Karibu Dodoma
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu wa leo

    Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Wanakuita majina mangapi?

    Wakati Bank wanakuita mteja, TRA wanakuita Mlipa kodi, Dini yako wanakuita Muumini, TV wanakuita mtazamaji, Radio wanakuita msikilizaji, Hotel wanakuita Mgeni Wanasiasa wanakuita mpiga kura, Kwenye gari wanakuita abiria Mungu katika Isaya 43:1 anakuita wewe u wangu..tena nimekuita kwa jina lako...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Jehanamu ni habari za kutungwa

    Biblia ni neno la Mungu wazi kwa kila mtu. Limefunuliwa kwa watu wote. Hujakatazwa kununua Biblia na kusoma. Hujakatazwa kuukiza maswali, linafundishwa mashuleni na mpaka kwenye nyumba za wageni Biblia ipo. Tena ipo katika lugha zote ambazo wewe unaweza kuelewa. Kwa hiyo siyo kweli kwamba kuna...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Jehanamu ni habari za kutungwa

    Kama unafikiri Jehanaum haipo endelea na dhambi utaikuta. Aliekueleza hajakufafanulia...au wewe hujamuelewa. Hades iliokuwepo Yerusalem ni mfano tu wa Jehanaum yenyewe ambayo haifanani na hilo shimo la Yerusalem.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mch. Michael Peter Nhonya, amewataka wana Dodoma na Watanzania kupanda miti kwa nguvu zote

    Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa kupanda miti na kutunza mazingira hatimaye kuifanya Dodoma kuwa Kijani. Akizungumza na wananchi wa kata ya Iyumbu wakati wa zoezi la upandaji miti leo tarehe 3 Feb 2018 Makamu Mwangalizi mkuu wa Kanisa la Baptist Tanzania Mch Michael Peter Nhonya...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Watumia mitandao watakiwa kupendana

    Mmepoteza kabisa maana na kusudi la hii mada.
Back
Top Bottom