Jehovah Shamah
Member
- Aug 29, 2016
- 18
- 10
Natambua kuwa tuna karibia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Kuna watu wako madarakani kwenye mitaa yao kwa muda mrefu..wengine wamefanya vizuri ndiyo maana wapo muda huo wote.
Lakini wajitafakari wale waliokaa muda mrefu kuota misisi mitaani je bado wanatosha??
Kuna watu wako madarakani kwenye mitaa yao kwa muda mrefu..wengine wamefanya vizuri ndiyo maana wapo muda huo wote.
Lakini wajitafakari wale waliokaa muda mrefu kuota misisi mitaani je bado wanatosha??