Recent content by jeffas22

  1. J

    Nyalandu atangaza nia urais 2015

    Nyalandu ni kielelezo cha muonekano wa taasisi nyeti ya ikulu ilipofkia..hii ni dharau,mwisho hata kingwendu atautaka uraisi
  2. J

    Zitto aitibua CHADEMA

    Kwani ripoti ya PAC, aliichambua kwa sababu ya chadema au kwa sababu ya bunge? Hio ni gea ya kutaka zitto alegeze msimamo ili aje bila masharti hapana ,lazima mbowe asimame hadharani aombe radhi.....na pia ztto lazima arejeshewe vyeo vyake vyote ndani ya chama.
  3. J

    Werema, Maswi, Mboma wapumulia mashine

    Maswali kwa pande zifutazo. 1. Je nikweli tanesco haikugundua huu wizi tokea 2002 au walinyamazia? Kwa ninin wamiliki IPTL hawatajwi sana kwenye hili kwani wao hawana makosa? Kama account ilikua hai tokea 2002,nani ajitokeze anieleze kua RICHMOND NA DOWANS hawausiki? Kama acount ilikua hai tokea...
  4. J

    Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

    Warioba weaken opposition side
  5. J

    Kafulila: Upo mkakati kuzuia ripoti fedha za Escrow

    ufisadi ni sadaka yenye kuendelea
  6. J

    Prof. Mkumbo: Hakuna mwenye uwezo wa kushinda uchaguzi ndani ya CCM bila kugawa rushwa

    Hongera prof.shujaa cku zte hutetea na huwasemea watu wa makundi yote,siasa inakutaka uwe mnafiki kama hv,lkn ukijifanya eti ww una msimamo (radical ) utafia njaa.tafuta mboga ya wanao,time is money mkumbo,,ila jitahid wasikupige kumbo hao unawapamba
  7. J

    Haya ndio yaliyomkuta Sitta, alikutana na Nguvu ya ajabu ndani ya Chama

    Hujaonyesha ushahidi yakinifu ni kwa namna 6 ameungana na mafisadi,na pia utuonyeshe namna gani mafisadi wamempokea sitta, tazama kauli zko maana hao unawaita mafisadi hakuna hukumu ya mahakama,chenge,lowaasa na rostam hao wte wametumwa na vigogo zaid,wao walitumika tu kusafisha njia ya uchotaji...
  8. J

    Sitta: Mnyika niheshimu kama mzee na mzazi wako, Je Warioba sio mzee na mzazi?

    Kwann unatuongelea cc wananchi juu ya mgombea tumtakae? Huu si muda wa kusema fulan hafai,mambo hua yanabadilika na binadamu tunabadilika,hiii ppolitics,inawezekana makonda asifae kitabia lkn akatufaa kisiasa,vigezo vya mtu kua kiongozi(mbunge ) ni tofauti na vigezo vya mtu ane takia kuoa,ww...
  9. J

    Harakati za WAMA project against Lowassa zinanikumbusha hii story...

    Ok,mkuu sasa tupe connextion na ishu ya EPL (edwar president lowasaa ) na hyo mkuu wa kaya
Back
Top Bottom