Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

waliojiandikisha kupiga kura=...
waliopiga kura=...
kura za ndiyo=...
kura za hapana=...
kura zilizoharibika=...
sijui kwanini takwimu huwa zinaainisha namna hiyo badala ya kusema kura zote ni za ndiyo!!
kama kuna idadi ya kura za hapana maana yake wapo waliomkataa na ndio maana hakupata idadi ya kura zote za waliopiga kura, alishinda kwa sababu kura za ndiyo zilizidi kura za hapana na kukidhi idadi inayotakiwa kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi, elewa hivyo wewe mburulaz!

- Na wewe genius umekuja kumjibu mburulazzzzz jamani JF leo kimetokea nini huko hahahahaha

Le Mutuz
 
- Na wewe genius umekuja kumjibu mburulazzzzz jamani JF leo kimetokea nini huko hahahahaha

Le Mutuz

kuna mawili, aidha nikujibu au nikutie kidole kwenye kinyeo chako labda ndio utazinduka, sasa kama kujibiwa hutaki may be you are itchy for the other option, just say it mburulazzz!
 

Attachments

  • pv01_00000203.png
    pv01_00000203.png
    3.4 KB · Views: 336
achaaaa kuishi maisha ya kimbembele kujipendekezakeza kujifanya ccm kama mungu wenu
tushawachoka nyie
 
- Kaka umeanza tena matusi yako si ulisema unataka niache kumshambulia mgombea wako Lowassa kwa sababu nina nguvu sana na niache kumshambulia kwenye blog yangu leo yamekuwa haya, karibu sana mkuu sana si unajua kwamba I love this hahahahahahah,

- Wananchi wa Tanzania hawajamwambia Warioba kwamba wanataka Serikali 3 mimi sijawahi kuwmambia Warioba ninataka Serikali 3 labda anazungumzia wananchi wa UKAWA, hivi kwani ili Lowassa apate huo urais mnaoutaka ni lazima mumvuruge Rais wa sasa?

Le Mutuz

wewe hutaki serikali 3 ila wananchi walio wengi walitoa maoni yao wanata serikali 3 na report ya kisayansi iliyotolewa na Tume ya jaji warioba imeweka wazi na ccm mmenajisi maoni ya umma.
Kuhusu lowasa mnatakiwa mumpasue ili mpasuke naye na chama chenu vizuri sisi UKAWA tukija tunawanawa very easy.
 
wewe hutaki serikali 3 ila wananchi walio wengi walitoa maoni yao wanata serikali 3 na report ya kisayansi iliyotolewa na Tume ya jaji warioba imeweka wazi na ccm mmenajisi maoni ya umma.
Kuhusu lowasa mnatakiwa mumpasue ili mpasuke naye na chama chenu vizuri sisi UKAWA tukija tunawanawa very easy.

mwambie huyo mtu ambaye ni mgumu kuelewa.....ukawa ataijuaaaaaa tuuuuu
 
Kaka lazima akubali alichofanya Makonda pale ukumbini kwani according to Makonda mwenyewe hata huyu mtoto wa WM mstaafu Jumenne Malecela alikuwepo kwenye ule mkutano wa Serena.

Watoto wa vigogo hawa bwana wanaakili za nzi.

Dawa yao inachemka, iko siku watalia na kusaga meno...
 
warioba ni kiongoz wa nchi na wala hana kosa hata moja hela anazopewa ni haki yake wala sio hisan ya ccm kama ambavyo unataka kutuaminisha kukemea uov kama mzee, ndio kazi ya mzee, na mvi yake kichwan, yashuhudia busara na hekima yake, sio ninyi mnaowaza upumbav na upotofu, je maswali aliyouliza warioba kuhus nyerere mna majibu nayo? yeye ni mtumish wa serikali aliyestaafu suala la mafao yake unaleta hapa ili iweje? think twice. he is making history while you are playing atawapa tabu sana warioba na bado mpaka mtafurahi wenyewe, mnataka aungane na ninyi wadhalimu? kagoma sasa.
 
Kama ccm imeshindwa kuwajibika si kila mwanaccm hawajibiki.warioba ni mwanaccm mwadilifu si hao ma..ke..nge makondo au nopu niuyi.
 
Warioba ni Kiongozi wa Taifa mstaafu aliyekuwa amewahi kushika nafasi nyingi na kubwa sana za Taifa ikiwa na maana alipokuwa Makamu wa Kwanza wa Rais angeweza kushika Urais kama anything could have happened to the President.

Kinachoshangaza na kuhuzunisha ni jinsi Warioba ambavyo amekuwa na msimamo wa kuipinga CCM na Serikali yake baada ya kuvitumikia kwa uaminifu mkubwa karibu robo tatu ya maisha yake hapa Duniani, amekuwa akililia Serikali Tatu kitu ambacho sasa kinamfanya aonekane kwamba Rasimu na Tume yake nzima walikuwa na agenda ya siri maana haiwezekani kwamba kazi yake ilikuwa kupokea mawazo ya wananchi sasa
 
Mwacheni mzee wa watu ss wananchi tupo nyuma yake haiwezekani mkatuambia eti mbunge akivurunda jimboni wananchi hawana uwezo wa kumwajibisha wakati ss wananchi ndo tuna wajibu wa kumuweka madarakani!
 
- Ona huyu naye emty head kaja kujibu arguments za chekechea so ina maana na wewe ni checkechea kama mimi? hahahahahahahahahah ipi bora kulamba viatu vya chama tawala au Chadema? maana lazima wewe unawalamba Chadema ndio maana umesema au? hahahahaha

Le Mutuz

Eeeehh wewe kweli bichwa maji tumia Kiswahili tu chatosha aaaahahah
 
Back
Top Bottom