Amna kitu inaboa ka kuishi kibaharia maana kazi zote zako so kuna mda unakuta unamis at ue na mke wa kukushauri kukusaidia kazi na mambo ya kupeana raha kwa bed,,. Oa mshikaj ang
Aisee hata sisi tunafatilia hizo mambo, tumeshandaa katiba tukafanya na uchaguzi wa viongozi na kuwekeana viwango vya mkopo kwa kila mmoja sasa tunasubili mkaguzi aje ajiridhishe na biashara tuliyonayo, kikundi chetu kinaitwa Isaka youth Traders
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.