MIEZI 3 KWENYE BIASHARA YA SPARE ZA PIKIPIKI FAIDA NA CHANGAMOTO ZAKE
Salamu,
Baada kuiwazia sana biashara hii nikaona si vibaya nikaweka vimillioni kadhaa ili nione kama kweli iko kama isemwavyo, si unajua utamu wa ngoma.......
Kituo cha kwanza nikatinga wizara ya JF ili kupekua makaburasha...
Niliwahi kushawishiwa na rafiki yangu nikanunua shamba ekari 5 nikazilima zote nikapanda haya madude wewewewe!!!! Shughuli ilianzia kwenye kuota ilikuwa mche mmoja ukiota bunju mwingine unaota kitunda mwingine vigwaza unaofuata kibaha kwa mfipa nikaona hiki kilimo na mimi never again
Sasa bwana...
Kabila letu ukizaliwa mtoto wa kiume unaambiwa mapema kabisa usioe muhaya wala mchagga. Binafsi nimeoa MUHAYA na kusema ukweli sijawahi kujutia hata siku moja kuoa Muhaya hata mzee wangu na familia nzima wanampenda mke wangu. Nina miaka na watoto 3 sasa tuko vizuri sana.
NB inawezekana...
Ziweke kwanza Fixed Account bank ya TCB wanatoa hadi 12% annually. Hapo kila mwezi utakuwa unapata karibu laki 8 wakati ukifikiria biashara ya kufanya.
NB. KWA KUWA SASA UNA MDA WA KUTOSHA JARIBU BIASHARA YA KUNENEPESHA NGOMBE KISHA KUWAUZA BAADA YA MDA FULANI INALIPA SANA NA HAINA CHANGAMOTO...
Binafsi kwa mtazamo wangu, JK ni rais mzuri sana lakini mambo yote ya maendeleo aliyoyafanya alitumia mzigo wa maana wa pesa alizo fundraise Mkapa na hakuacha misingi imara ya kiuchumi wala kuendeleza misingi ya Ben. Rushwa na ufisadi wa kutisha uliota mizizi kipindi chake kwa kuchota pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.