Recent content by jeba

  1. jeba

    Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

    Kwa swala lako la shamba: Achana na habari za uchawi, wewe ni raia una haki na haki unajua vizuri pa kuipata… kama umesema una hati hiyo hati ndio inakufanya ujue kuwa umeibiwa wala sio miujiza. kwa kuzingatia nguvu ya hati yako, nenda sehemu husika fuata taratibu husika dai chako...
  2. jeba

    Jaydee huu ni utoto sana tena sana

    Mkuu, mada yako mie naona umemtazama jide na swala lake katika upande mmoja kama vile yeye ni mtu wa nongwa sana na visasi bila sababu, sina tatizo na mtazamo wako ila hakika nina mtazamo tofauti na wewe kwa hili, mie naona jide is not acting, she is just reacting, she did not start the issue...
  3. jeba

    Safari ya mapenzi na vikwazo vyake

    Frank ana mabalaa hivi hiyo kete ya chungulia dirishani, alafu demu angesema sipo nyumbani... Frank angekuwa kakinukisha
  4. jeba

    Atheism ni nini?

    I think it is wrong ku-argue na atheist ukianzia katika msingi, wao ni God-haters. Na ndio maana mijadala huwa haiishi. Kwanini nasema hivyo, mfano: I hate Nigerian movies mie kuhate Nigerian movies does not mean hazipo, zipo ila sizipendi. So ukisema atheist ni God-haters hiyo ina maanisha...
  5. jeba

    What did you read in 2013?

    Bless you Roulette, it feels so good ku-share mawazo katika jambo kama hili 2013 nilipata bahati ya kusoma 1. History of Tanzania - edited by Kimambo and Temu 2. The teaching of Buddha – Bukkyo Kyokai 3. Treasure in clay (autobiography) of Fulton Sheen 4. The...
Back
Top Bottom