Wapo wababa walio na negative perception importation kwa watoto wao but wanawake wana high rank katika hilo .Wababa hawana hulka ya kukiri udhaifu so watalea watoto wao bila kuwaeleza everyday habari mbaya kuhusu mama yao aliyewatelekeza
Malezi ya mzazi mmoja si malezi bora kwa watoto. Mfano mtoto anayelelewa na mama aliyeachana na baba psychologically atamlea mtoto huyo in a negative perception kama vile baba yako ni mbaya sana , aliniacha nikiwa na mimba yako hakupendi , hajawahi kuonyesha upendo wake kwako mwanangu, ni mtu...
Wembamba unakuhuzunisha, ila unene ukiupata utasikitika sana. Mungu ametuumba kwa namna ya ajabu sana. Amini kuna wadada wanaopenda wakaka design yako. JIKUBALI WEWE KWANZA KISHA WENGINE NAO WATAKUKUBALI
kama wanadamu, mara nyingi hufanya maamuzi tuonayo ni sahihi kwa wakati husika, ulivyomuoa uliamini kuwa atakuwa mke mwema tena hata kama angekuwa na maovu kiasi gani kwa maamuzi yafanywayo haraka usingeweza jua coz angeficha maovu yake, so usijute
pole kwa masahibu yaliyokukuta, hongera kwa kuendelea kutafuta utatuzi wa changamoto hiyo. jaribu kuchunguza ni kitu gani kinachomfanya atoke nao, mkalishe chini mdadisi ili atoe yake ya moyoni , ukiona hasemi lolote rudi mlipofunga ndoa wao watawashauri na alichokiunganisha Mungu mwanadamu...
Hawa wanaofanya hivyo hawako Busy, coz watu Busy hufikiria namna ya kutatua mambo mbalimbali na wakiwa matembezini hutaka kupumzisha, sio nani kafanya nini , na nani, saa ngapi, though sio bachelors tu ,kwa kweli tunao makundi mengi katika jamii zetu zenye tabia hizo.
habari wanajamvini,
nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge.
Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna ukweli juu ya hilo? na je vipi kuhusu urahisi wa upatikanaji wake?
Asanteni kwa maelezo yenu
umeshindwa kutatua matatizo. unadhani kwa kufanya hivyo umefuta ukweli uliokwisha tokea? ulipizaji wa kisasi unaongeza uhasama
Kwa hiyo akijua kuwa umemla mpaka mwanae nae amle mwanao au?
Kumbuka :hasira hazimalizi changamoto za kimaisha, bali huongezaidadi ya changamoto
1.Punguza hasira (...
Ingekuwa wanaume woooooote mnafwata sheria hizo kusingekuwa na longolongo.kila mwenye dada anapenda taratibu zifatwe nanyi fuateni taratibu kwa dada wa wenzenu.
Sio mchezee wa wenzeni then kwa dada zenu muwe wakali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.