Recent content by jeang

  1. jeang

    Fungukeni mliolelewa na Mzazi Mmoja

    Wapo wababa walio na negative perception importation kwa watoto wao but wanawake wana high rank katika hilo .Wababa hawana hulka ya kukiri udhaifu so watalea watoto wao bila kuwaeleza everyday habari mbaya kuhusu mama yao aliyewatelekeza
  2. jeang

    Fungukeni mliolelewa na Mzazi Mmoja

    Malezi ya mzazi mmoja si malezi bora kwa watoto. Mfano mtoto anayelelewa na mama aliyeachana na baba psychologically atamlea mtoto huyo in a negative perception kama vile baba yako ni mbaya sana , aliniacha nikiwa na mimba yako hakupendi , hajawahi kuonyesha upendo wake kwako mwanangu, ni mtu...
  3. jeang

    Huu mwili sio ndugu zangu, nisaidieni mawazo

    Wembamba unakuhuzunisha, ila unene ukiupata utasikitika sana. Mungu ametuumba kwa namna ya ajabu sana. Amini kuna wadada wanaopenda wakaka design yako. JIKUBALI WEWE KWANZA KISHA WENGINE NAO WATAKUKUBALI
  4. jeang

    Najuta: nilioa mke kwa kuvutiwa sura na umbo lake

    hata wasio bongo movie ni majanga tu so nikupiga goti sana kabla hujafanya maamuzi
  5. jeang

    Najuta: nilioa mke kwa kuvutiwa sura na umbo lake

    kama wanadamu, mara nyingi hufanya maamuzi tuonayo ni sahihi kwa wakati husika, ulivyomuoa uliamini kuwa atakuwa mke mwema tena hata kama angekuwa na maovu kiasi gani kwa maamuzi yafanywayo haraka usingeweza jua coz angeficha maovu yake, so usijute
  6. jeang

    Najuta: nilioa mke kwa kuvutiwa sura na umbo lake

    pole kwa masahibu yaliyokukuta, hongera kwa kuendelea kutafuta utatuzi wa changamoto hiyo. jaribu kuchunguza ni kitu gani kinachomfanya atoke nao, mkalishe chini mdadisi ili atoe yake ya moyoni , ukiona hasemi lolote rudi mlipofunga ndoa wao watawashauri na alichokiunganisha Mungu mwanadamu...
  7. jeang

    Muhimu: Mambo makuu usiyopaswa kumwambia mke wako milele

    kwa mkeo unaweka barriers ila kwa mchepuko unamwaga yote halafu useme mjanja wewe
  8. jeang

    Kuchagua mke

    Lolipop umenena vyema
  9. jeang

    Wanaume single ni wambea sana na wachonganishi

    Hawa wanaofanya hivyo hawako Busy, coz watu Busy hufikiria namna ya kutatua mambo mbalimbali na wakiwa matembezini hutaka kupumzisha, sio nani kafanya nini , na nani, saa ngapi, though sio bachelors tu ,kwa kweli tunao makundi mengi katika jamii zetu zenye tabia hizo.
  10. jeang

    msaaada wa mawazo please

    habari wanajamvini, nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge. Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna ukweli juu ya hilo? na je vipi kuhusu urahisi wa upatikanaji wake? Asanteni kwa maelezo yenu
  11. jeang

    Maamuzi ya mwanaume wa kweli haya hapa.

    Duniaaaa haina huruma ee! Duniaaaa haina huruma ! Dunia aaa haina huruma ndugu yangu nasemaaaaaa! mpe , naye akupe alivyopata hukoooooo
  12. jeang

    Nimemlipa kwa aliyonifanyia nimeridhika

    umeshindwa kutatua matatizo. unadhani kwa kufanya hivyo umefuta ukweli uliokwisha tokea? ulipizaji wa kisasi unaongeza uhasama Kwa hiyo akijua kuwa umemla mpaka mwanae nae amle mwanao au? Kumbuka :hasira hazimalizi changamoto za kimaisha, bali huongezaidadi ya changamoto 1.Punguza hasira (...
  13. jeang

    Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

    Ingekuwa wanaume woooooote mnafwata sheria hizo kusingekuwa na longolongo.kila mwenye dada anapenda taratibu zifatwe nanyi fuateni taratibu kwa dada wa wenzenu. Sio mchezee wa wenzeni then kwa dada zenu muwe wakali
  14. jeang

    To MMU ladies ....

    1.Una miaka mingapi? 2.Wewe ni mwenyeji wa wapi? 3.umenifahamu mtandaoni unawezaje kujua tabia niliyonayo? 4.nini tafsiri yako ya neno maisha?
  15. jeang

    Ukifanyiwa hivi na mwanamke inamaanisha nini haswa?

    Mueleze vle unavyokereka ,Asipobadilika Fanya utafiti utapata jibu la maswali yako yooooote!
Back
Top Bottom