Recent content by Jbst

  1. Jbst

    Jinsi kupika njegere za nazi

    Habari zenu wana jamvi, heri ya sikukuu ya ya taifa letu. Naomba kuelekezwa namna ya kupika njegere za nazi na wali wa nazi.
  2. Jbst

    Lamine Yamal ametaja kikosi chake bora cha muda wote Messi, Neymar na Ronaldo wamo

    Ww jamaa mbona mweupe sana kwenye football, namba 6 si eneo la kiungo mkabaji tu.. namba 6 kuna viungo wa aina tofaut tofaut defensive midfielder ni namba 6 Holding midfielder ni namba 6 Deep lying playmaker ni namba 6 Wote hao ni namba 6 ila kila mtu ana majukum yake uwanjan. Sio kila team...
  3. Jbst

    Tunatengeneza furniture aina zote

    Showcase futi 5 ya kuhamishika ya kunyamwezi bei gn? Zingatia mbao ngum ya kudum
  4. Jbst

    Lamine Yamal ametaja kikosi chake bora cha muda wote Messi, Neymar na Ronaldo wamo

    Mbona nimejibu sema una uelewa mdogo, Zidane ndo namba 6 hapo anakuwa kama deep lying playmaker, Zidane ni pure midfielder anaweza cheza 6,8,10 na hata kutokea pembeni huku hao mabek mmoja anasogea juu team ikiwa inamiliki mpira.. ungekua unajua deep lying playmaker majukum yake uwanjan...
  5. Jbst

    Lamine Yamal ametaja kikosi chake bora cha muda wote Messi, Neymar na Ronaldo wamo

    Nipeni ila kwa mashart, ponjori aache team yetu ni tapeli.
  6. Jbst

    Lamine Yamal ametaja kikosi chake bora cha muda wote Messi, Neymar na Ronaldo wamo

    Nani kakwambia kila team inahitaji kiungo mkabaji? Nani kakwambia kila mfumo unahitaji kiungo mkabaji? Barcelona ya Pep haikua na kiungo mkabaji. Busquet sio defensive midfielder, kuna aina 3 za namba 6 ktk mpira wa kisasa. Kuna defensive midfielder huyu ni namba 6 kazi yake ni kukaba tu. Kuna...
  7. Jbst

    Kati ya haier na hisense ipi bora?

    Kwa wataalamu wa au waliotumia hizi TV 2 naomba ushauri kati ya haier na hisense TV gani nzuri na mara. Nilikua na samsung imekufa sasa huku kwa samsung naona parefu sana. nimeshuka hapa kati kabla sijafika huko chini kwa wachina kina vitron na kina Alitop. Msaada wakuu.
  8. Jbst

    Si-date tena na mwanamke anayejifanya Sheikha

    Hata huku wapo, mimi kuna mrangi mwenzangu alinisumbua ivo miak 2 nikaamua kumpiga tofali.. hataki sex hataki kiss, ila ela anataka. Ana force leta posa tumalize ili swala. Tumia njia zote Hollah, nikaamua kumpa tofali
  9. Jbst

    Si-date tena na mwanamke anayejifanya Sheikha

    Hata huku wapo, mimi kuna mrangi mwenzangu alinisumbua ivo miak 2 nikaamua kumpiga tofali.. hataki sex hataki kiss, ila ela anataka. Ana force leta posa tumalize ili swala. Tumia njia zote Hollah, nikaamua kumpa tofali tu
  10. Jbst

    Mnaokaa Mbweni na capripoint -Mwanza, mmeajiriwa wapi?

    Capripoint mbona maskin wapo tena na wavuvi choka mbaya wapo.. au ww unaongelea capripoint ipi? Shuka mpaka chini nyumba nying tu za wabangaizaji wamejenga
  11. Jbst

    Nimetapeliwa kwenye biashara yangu ya huduma za kifedha (Uwakala)

    Lazima alimpa sim huyo tapel ndo aka save namba kwa jina airtel money
  12. Jbst

    Huwa inatokea unamchoka mtu kimapenzi

    Hii ni kweli mfano halisi ni me na mwenzangu kwasasa mapenz hamna kabisa, kila mtu hana muda na mwenzake imebakia tu kuambiana kila mtu aangalie mambo yake ndo kilichobaki. Simuombi penz simtafuti nayeye saiv hanitafuti kila mtu mbabe,, sitaki kumtakia maneno ya kumuacha kwasababu...
  13. Jbst

    Sidumu kwenye mahusiano

    Tukuulize swali uliingia nao kwenye mahusiano ya sirias umuoe? Nakushauri tafuta pesa wanawake wana nyenyekea sana kama wakijua unajiweza.. sasa ww unaombwa 20k unaanza sababu kibao unategemea nn? Ushauri wangu achana mahusiano sirias ya mapenz unapoteza muda wako na pesa zako, tafuta pesa...
  14. Jbst

    Mtoto wa kiume hasa hasa graduate kamwe usikubali kuishi kwa shemeji yako ( mme wake na dada yako) ni laana

    Mkuu humu Jf kila mtu ni mjuaji sana achana nao, mimi mwenyewe nimekulia kwa mjomba wangu kwa miaka 4 mpka nilivojipata ndo nikaondoka leo yeye hayupo wanae ndo wananiangalia mimi
  15. Jbst

    Uchimbaji wa maduka ya chini kwa ajili ya kuongeza sehemu ya maduka unatajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa jengo kariakoo

    Naona watu wengi hawaelewi wakisikia neno"walikua wanachimba chini undergroun" Ipo hivi magorofa ya zaman unakuta kule chini kulikua ni stoo hata mbili au unakuta chini pote kulikua stoo sasa mmiliki anaamua kubadili zile stoo za under ground kuwa maduka kama magorofa meng ya kisasa...
Back
Top Bottom