Umesaahau kutaja Arushaa ndoo walikuwa mabingwa wa kunywa viroba na sasa hiv vimepigwa marufuku. Vijana Afya Imerud ARUSHA ndo mji wanawake wanafanya kazi kuliko wanaume. Alafu cha kushangaza Mwanaume akishaona ameoa Mwamamke jembe yeye huwaga anabweteka kazi yake no kushinda vilabuni tuu...
INAONEKANA NASA WANA NAFASI KUBWA MNOO YA KUSHINDA MWAKA HUU LAKIN UKWELI WAKIKUYU WATAKUBAL KUACHIA NCHI. KWA MAANAA WASHAJIONA KM KENYA N YAO HAO WENGINE WANAONEKANAA KM WAKUJAA WANAOTAKA KUMILIK NCHI ISIYO YAO.
Umesahahu kikikuyu Mpaka naona kuna redio za Kikikuyu. Mm naona wangeitambuaa tuuu KIKIKUYU. iwe lugha yao ya Taifa. Maanaa ndo lughaa ya asil yaoo hizoo zngnee wametolewaa.
Nko hapa standi ya mabasi ya mkoani ya Arusha. Nnachokishuhudia wakuu n hili wimbi la wakina mama na wakina dada weng mnoo wamekuwa wapiga debe hapa stendi cha kushangaza utaukuta n kabint kadogoo kalitakiwa kuwa shule lakini nako n kapiga debe. Kwa nn kasiende hata kuwa housegarl. Km kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.