Jaza Ujazwe
Member
- Jun 13, 2017
- 11
- 4
Nko hapa standi ya mabasi ya mkoani ya Arusha. Nnachokishuhudia wakuu n hili wimbi la wakina mama na wakina dada weng mnoo wamekuwa wapiga debe hapa stendi cha kushangaza utaukuta n kabint kadogoo kalitakiwa kuwa shule lakini nako n kapiga debe. Kwa nn kasiende hata kuwa housegarl. Km kusoma imeshndkanaa au basi kakajifunze hata ufundi wa kushona basi. Mm sion km n sawa Hz n kazi za wanaumee