Kitu alichokuwa anakifanya yule striker no. 9 wa Nottingham ndicho aseno tuliitaji ana hold Mpila vizur Mpaka sapoti inapofika si haba nadhani ni Castr kama nitakuwa sijakosea alisema Lukaku angefaa ila tukachukulia utani[emoji16]
Mkuu umeiweka vema hakuna mali yoyote ya Urusi ambayo imechukuliwa na kutaifishwa/kutumika zaidi ya kushikiliwa tu. Na wanakosa maamuzi ya kutumia mali ya Urusi iliyoshikiliwa kwasababu hapo kabla hakujawai tokea jambo kama hilo.
Zuio kuisha mwezi January haiondoi uhalisia kwamba zina hitilafu ndiyo maana zimesimamishwa mpaka uchunguzi ufanyike.
Mkuu sijui umemaanisha nini uliposema aliicontrol ndiyo akatumia ijection seat[emoji848]. Mbona video inaonesha vizuri kabisa ndege ilikosa control baada Tu ya kugusa ardhi na...
Bila kumsahau Grand Master heshima kubwa kwake natamanai Sana awe anachangia nilikuwa najifunza mengi Sana kwenye machangio yake Ila ndiyo hivo tena.. sasa imebaki kubishana na sio kuelimishana.
Si hivyo tu bali Kwa kuongezea pia Kwa mashindano ya kombe la dunia yatayofata(2026) Africa itapeleka timu 11(thanks to Morocco) ambapo idadi hii imechangiwa na timu ya Morocco kufika nusu fainali. Je Kwa hapa ni vipi Africa haijanufaika? chance ya kushiriki michuano hii kwa kila nchi Africa...
"If there is a country that have committed unspeakable atrocities in the world it is the United States of America. They don't care for human beings, fifty seven years ago, when Japan was retreating on all fronts, they decided to drop an atom bomb to Hiroshima and Nagasaki killed a lot of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.