Shimbuko lake ni uchafu pamoja na kutopiga pasi Nguo.Haina maana kila nyumba yenye kunguni ni wachafu,isipokua hao wadudu walisambazwa Na watu wachafu waliotoka vijijini.Inawezekana ni ndugu waliokutembelea,au ni wanafunzi walitoka nao shule,au uliwapata guest house au kwenye mabasi wakati wa...
Tafuta mwanamke aliyeserious na maisha oa,ukishamuoa weka wazi kipato chako pia yeye ataongeza kipato, mpe nafasi apange bajeti hivyo ataweza Ku save kiasi fulani hivyo mtafanya vitu vya maendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huo hiyo hela ya mkooo uliifanyia nini? Ungeifanyia biashara hayo maisha yasingekuwa magumu kiasi hicho.
Sent from my HUAWEI Y360-U61 using JamiiForums mobile app
Pole sana,ndoa haina formula na wala huwezi kucopy ndoa kwa jirani au shoga yako,kwamba kwavile akina Fulani wanaishi hivi basi na wewe ndoa yako itakuwa hivyo.Ni nyinyi wanandoa kukaa pamoja na kukubaliana ndoa yenu itajengwa katika misingi gani.Kupendana,kusameheana na kuvumiliana ni nguzo kuu...
Utamu wa ndoa ni wanandoa wote wawili kila mtu kujua wajibu wake na kutimiza wajibu kwa mwenza wake na familia yake kwa ujumla.Wewe jistiri,itunze ndoa yako ,jiheshimu lakini kama upande wa Pili haujitambui,bado ndoa yako itakua chungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana huna uzoefu katika kulisha mtoto,mtoto anayejaza chakula mdomoni inatakiwa ubuni mbinu ambazo zitamfanya afurahie ili aweze kumeza,Mf kumwimbia nyimbo,kumpeleka sehemu yenye mtoto kama yeye ili akimbie kimbie na kucheka wakati unamlisha.Mi mwanangu wa kwanza alinitesa ila nashukuru...
Maelekezo ya wataalamu wa afya ni pamoja na kutokusanyika,huwezi ukasema unachukua precaution wakati bado unaruhusu mikusanyiko. Kwani ukisali nyumbani kwako Mungu hasikii maombi?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.