Recent content by jay v

  1. jay v

    Wanaume kwanini hamjui kutupapasa bali mnatufinyafinya wakat wa maandalizi ya sex na mikono yenu migumu

    Tatizo lenu mnadate na mafundi ujenzi ndo maana hupati raha,maana fundi ujenzi mara nyingi huwa wana mikono migumu yenye magaga.Ukitaka raha ntafute nkupe raha ambayo hujawahi kupewa toka ulipo vunja ungo[emoji39][emoji39]
  2. jay v

    Platinum Annex Area C Dodoma,huu wizi hauvumiliki bei ya soda sawa na bia,

    Unajua tatizo la watanzania sijui nani katuroga!,huyu mtoa mada yupo sahihi kabisa. Kupandisha bei ya soda sio tatizo hata kidogo tatizo hapo ni wanalipa kodi ya hilo ongezeko?,bei elekezi ya makampuni haya ya soda mara nyingi huwa na uwiano uliyo sawa 500 au 600 na hii ndo bei elekezi...
  3. jay v

    Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

    Huyu siyo JAMES DELICIOUS kweli?,bila shaka ndiwe maana kwa huu uzi sina mashaka kabisa wewe ndiwe
  4. jay v

    Mafuta ya simba

    Anaye hitaji anicheki dm
  5. jay v

    Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

    Ngoja wapigwe mnada siwanakimbia nchi zao!,nchi za uarabuni ni matatizo mtupu na wanaubaguzi wa hali ya juu,hao waafrika weusi wanashindwa kutulia kwenye nchi zao wao kila kukicha wanakimbilia huko kutafuta maisha mazuri,maisha mazuri wanayotafuta ndo hayo sasa ngoja waipate fresh!
  6. jay v

    Nyalandu rudisha hizi fedha za rushwa!

    Acheni chuki na unafiki wa kishetani,ina maana mnataka kusema mtu akihama toka ccm kwenda upinzani inakuwa nongwa kwenu?,acheni siasa za chuki na visasi!,mara ngapi watu wa upinzani wanahama kwenda ccm?mbona huwa maisha yanaendelea bila ya chokochoko hizi!,mwacheni nyalandu aende mahala ambapo...
  7. jay v

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ------------------
  8. jay v

    Waziri Mbarawa aweka jiwe la msingi ujenzi Uwanja wa Ndege Chato. Kuligharimu Taifa Sh. Bilioni 39

    HAPO NDO HUWA INAONEKANAGA TOFAUTI YA BABA WA TAIFA NA HAWA VIONGOZI WA MIHEMKO(MWENDOKASI; Nadhani mwalimu nyerere angekuwa mbinafsi leo hii musoma au mkoa wa mara kwa ujumla ungekuwa ndo mji mkubwa kuliko dar es salaam,dhambi kubwa aloifanya the late mwalimu nyerere ni kutoiendeleza...
  9. jay v

    Wauza smartphone tukutane hapa

    SAMSUNG GALAXY J7 NEO BADO MPYA INA MWEZI 1 TOKA IMENUNULIWA BEI:- 450000 TUTAFUTANE:- 0713399090/0767969165
  10. jay v

    Sirro: Jeshi linatambua Makosa ya kimtandao yanayofanywa na Mange Kimambi na linashughulikia

    Acha kuiga wamarekani maana huu upumbavu wa maadili ndo umetoka kwao,hivi kwa mfano mimi nimtukane mama yako au baba yako we utajisikiaje?sasa hata akitukana itasaidia nini maana rais ni magufuli,na siyo kwamba serikali inashindwa kumkamata kumbuka huyu tayari ni muhalifu kama walivyo wahalifu...
  11. jay v

    Sirro: Jeshi linatambua Makosa ya kimtandao yanayofanywa na Mange Kimambi na linashughulikia

    Freedom of expression gani ambayo mtu inafikia mahala mpaka anamtukana mh.Rais?tuacheni kuwa na ushabiki wa kiitikadi na wa vyama hautatusaidia!,inafikia sehemu anamwita mh.Rais "********",jamani hata kama ni uhuru huu umevuka mipaka yule dada haoni aibu hata kidogo maana anaporomosha matusi...
  12. jay v

    Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa

    Mi nadhani tuhuma mbaya ni pale taifa linapomwita mkuu wa koa bashite halafu bila hata aibu anashindwa kutoka hadharani kukanusha na vielelezo vilivyo sahihi,mwenyekiti mbowe alikanusha hadharani na taifa liliona na ndo maana mpaka leo hakuna mashtaka yanayomkabili kama wakina manji na gwajima...
  13. jay v

    WanaCCM tusikubali kuchezewa akili na DC Mnyeti; Press conference yake izuiliwe na vyombo vya usalama

    Sisi hata kama ingekuwa ya mwaka 1990 tunachotaka ni huyo mtoa rushwa na wala rushwa washitakiwe kwa mujibu wa sheria
  14. jay v

    Kuna ubaya wowote mtu kumpenda mke wa mtu? Mbona Daudi alimpenda mke wa Uria na akabarikiwa?

    Unajua kuna kupenda na kutamani,kama ni kupenda hata maandiko matakatifu yametutaka tupendane na amri iliyokuu ni upendo na kutamani ni dhambi isiyo kuwa na mjadala na utakuwa umekiuka moja wapo ya amri kumi ZA MWENYEZI MUNGU MUUMBAJI,soma kuanzia KUTOKA 20:1-..........
Back
Top Bottom