Nilimuacha nikiwa nampenda sana,
Anakagua simu yangu kupitilizi hata usiku wa maneno anaamka anaanza kusoma txt utadhani anafanyia Necta,
Akipata no za vimada wengine anawapigia,
Nilimvumilia sana kwa sababu nilikuwa nampenda
Alikuwa hajui mapenzi yaani mikwanjuo hawezi completely basi hata...
Juzi tu hapa enzi za JK,
Watanzania tunasahau sana tena kwa kauli zake akasema " HAKUNA MTANZANIA ATAKAYE KUFA KWA NJAA"
labda tuelewane kitu kimoja sio kwamba serikali itatoa chakula cha bure hapana,
Ila inachokifanyika serikali ni kuwauzia wananchi chakula kwa bei nafuu
mfano sasa hivi bei...
Mkuu huu ni uonevu tena uonevu ulio uchi kabisa haiwezekani wewe umwajiri mtu halafu umalize miezi miwili bila kumlipa ,
anakula nini,matumizi yake ya kawaida anatoa wapi?
i wish i could be IGP
Wakuu kher?
Katika maisha kuna vitu vinasikitisha sana tena sana, Waajiri wengi wamekosa utu hasa linapokuja suala la kutimiza wajibui wao kama waajiri hapa nazungumzia malipo na stahiki za mfanyakazi.
Tatizo kubwa waajiri wanakuwa hawajali maslahi ya wafanyakazi wao na wakikaa vibaya tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.