Recent content by Jasnira

  1. Jasnira

    Ni kwanini watu huumia wanapokuona umefanikiwa?

    Wana roho tu za kimaskini
  2. Jasnira

    Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

    Ukinitumia msg pm imekula kwako huwaga sijishughulishi na upuuzi labda iwe ni business nimeona nimeipenda nikuulize lakini sio jitu linatoka huko eti hi.. mazoea sitaki dm yangu..
  3. Jasnira

    Unaweza kumuachia mchumba simu yako kwa siku tatu?

    Ndio kwani sinaga makando kando ya kipuuzi.. niko straight forward najua nataka nini. Nimeamua kuwa na yeye end of the story...
  4. Jasnira

    Ni aibu sana mke, mume na watoto familia moja wote kuwa facebook

    Kila mtu ana uhuru wa kupata taarifa inategemea mnatumiaje mitandao. Kwangu si jambo baya.
  5. Jasnira

    Wanaume: Je mnachukuliaje hali ya wake zenu kupewa lifti?

    Si umnunulie hata used swift ka million 5... shida iko wapi yaani apate shida ya usafiri na lift ipo we wa wapi
  6. Jasnira

    Wanaume: Je mnachukuliaje hali ya wake zenu kupewa lifti?

    Si umnunulie hata used swift ka million 5... shida iko wapi yaani apate shida ya usafiri na lift ipo we wa wapi
  7. Jasnira

    Hisa ni nini?

    Hizo issue ni kama kamali so kuna kula na kupuswa.. so take care. Design kama una bet niko na 8m nahitaji kuziweka mahali zinizalishie hata kwa one year lakini sio kwenye hisa...any idea nipeleke wapi?
  8. Jasnira

    Fastjet amerudisha Airbus zake, kulikoni?

    Wamewaondoa lini? Mbona nimesafiri nao jumapili hii ya 19
  9. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Natafuta jina lake nitawaambia ngoja Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
  10. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Kama nakuona utakavyonukia..shukrani
  11. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Ndio wanauza kwa kupima zote brand kubwa kubwa. Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
  12. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Ndio halafu dove ni adimu hasa mikoani hivyo nikijaga dar ndio nanunua ya kuja nayo...
  13. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Nadhani zitakuwepo jaribu kutafuta. Ila dove zinanukia vizuri sana nazo kuliko nivea.
  14. Jasnira

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Tafuta ambazo hazina alcohol hasa nimeona za Dove... Zenye alcohol zinaongeza weusi makwapani na mambo kama cancer ya maziwa kwa wanawake.
Back
Top Bottom