Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 1,914
- 1,978
Dah!thanks Chief.vipi tupe mrejesho hizo sample wanapima?na bei zake zikoje?wewe umechukua ipi?Mkuu nimeenda pale JD pharmacy hawana hii kitu,
Dah!thanks Chief.vipi tupe mrejesho hizo sample wanapima?na bei zake zikoje?wewe umechukua ipi?Mkuu nimeenda pale JD pharmacy hawana hii kitu,
Sijachukua Mkuu. Issey Miyake, bvlgari, Invictus hizi zote hawana. Wana perfume nyingi za kike.Dah!thanks Chief.vipi tupe mrejesho hizo sample wanapima?na bei zake zikoje?wewe umechukua ipi?
Shukrani Mkuu, nimeenda pale nimechukua sample ya Aqua de gio na one millio. Ngoja nitest nione
Kama nakuona utakavyonukia..shukraniShukrani Mkuu, nimeenda pale nimechukua sample ya Aqua de gio na one millio. Ngoja nitest nione
Can't wait to try it. Shida yangu ni Club de nuit for men Ila sijaipataKama nakuona utakavyonukia..shukrani
JD ya wapi umeenda? Umeenda ya Village Walk Masaki? Jaribu Diamond Plaza ground floor, ukikosa nenda Quality Centre griund floor karibu na escalator upande wa kulia kuna duka la fragrance.Sijachukua Mkuu. Issey Miyake, bvlgari, Invictus hizi zote hawana. Wana perfume nyingi za kike.
Vip bei ya hizo sample zikoje?Shukrani Mkuu, nimeenda pale nimechukua sample ya Aqua de gio na one millio. Ngoja nitest nione
Nimeenda JD ya mlimani city, ngoja Ntajaribu kufika hizo ulizoelekezaJD ya wapi umeenda? Umeenda ya Village Walk Masaki? Jaribu Diamond Plaza ground floor, ukikosa nenda Quality Centre griund floor karibu na escalator upande wa kulia kuna duka la fragrance.
All in all hakuna duka bongo litakuwa na varieties kama maduka ya Dubai,London,New York.
10k kila mojaVip bei ya hizo sample zikoje?
Poa mkuu utatupa mrejesho kama zinadumu10k kila moja
Blue for Men inauzwa Excatly 25000, nzuri sanami naitumia blue for men inanukia vizuri sana aisee alafu sio expensive bei inategemea na duka ila isizidi elfu 25.
Mbona kama duka LA dawa na vipodoz?
Kuna rafiki yangu hivi alikua anatumia perfume inaitwa AIG.. Ipo kwenye chupa nyeusi hivi... Nilitafuta Dar nzima hakuna.. Ila yeye anasema aliinunua Arusha laki 350... Asee ile kitu ni baraaaa
Nmeshawai nunua.sio siri harufu nzuri ila haidumu kwa mda mrefuBlue for Men inauzwa Excatly 25000, nzuri sana
Natumia signature zoom ya kiume iko poa sanami natumia signature, its one of the best
Fake Fake Fake Bablai...
Iko wapi hii JD?JD Pharmacy. Hawa jamaa itabidi wanilipe nawatangazia sana biashara.
Haaa haaa karibu wakati mwingine ukiwa tayari, zote ni nzuri.Umenikomesha sijui nichague IPI niache ipi