Sifahamu sana mambo ya thamani lakini kwa uelewa wangu mdogo kama mwanzo yalikua dola 150 na mafuta yalizwa 2000 na sasa ni yameshuka hadi dola 30 yanapaswa kuuzwa chini ya 800 kwa lita bila kuangalia thamani ya dola dhidi ya shilingi
Umeeleweka vyema kwetu tatizo halikuanza wakati wa kikwete bali sera mbovu za ubinafsishaji uliofanywa na mkapa kuamini uchumi wa nchi utaendeshwa na wageni na sio wazawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.