Wewe unavyofikiria kila mtu akiacha elimu atafute pesa kama unavyoshauri, ukiumwa ukatibiwe na nani? Au mganga wa kienyeji? Yani unajaribu kusema watu wote tukawe wachuuzi au 'wapambanaji' ila tuwe na mapesa. Best of luck
Nataka tu kujua umekuja utaratibu mpya wa kufanyia kamisheni ikulu badala ya Monduli? Nimezoea kuona zinafanyika Monduli na hii ni mara ya kwanza kusikia zinafanyika ikulu. Natanguliza shukrani
Anaonekana amejisahau kwa mafanikio aliyopata, anashindwa kutengeneza story/comedy mpya tho kipaji anacho kikubwa tu. Na izo sherehe anazokua MC kila week ndo zinamfanya azoeleke mapema sana. You can always tell atasema nini. Ushauri: apate muda wa ku relax kuja na story mpya tofaut na...
Ni sawa na wewe ukitumika kama kielelezo cha 'the rest of Tanzanians', basi wote tutaonekana ovyoo. Acha ku'judge watu ivyo, watu wa ovyo wapo kila sehem. Mungu na akufumbue macho ya rohoni utoe chuki iyo iliyo ndani na uanze kupenda binadamu wengine. Amen.
Hivi si mtuambie ao ma'DC na ma'RC wana nafasi gani kwenye ivyo vikao vya CCM? Kila mtu anajifanya anajua halafu hamsemi. Embu tuone darasa tupate kujifunza wengine sio mbwembwe kumbe ni story zenu za vijiwe vya kahawa.
Kazi kwelikweli..sasa umeshasema ni majaribio kabla haijaanza safari za kibiashara, unashangaa nini kua tupu bila abiria? Ulitaka kuwepo na abiria wafanyiwe majaribio nao umo umo? Eti unauliza kama wamesusia. Endelea kuombea mabaya, sala zako hata floor ya kwanza hazitafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.