Recent content by JAPHA ED

  1. JAPHA ED

    Ukarabati wa Barabara ya Tegeta A (Kwa Bedui)

    Vizuri hakika jamii forum inakua ni sehemu sahihi ya kuwasilisha malalamiko ila tatizo ukarabati unaofanyika pia unakua ni WA kiwango Cha chini sana mvua ikinyesha Tena inarudi kule kule ni vyema mamlaka husika zifanye jambo linalodumu.
  2. JAPHA ED

    KERO Barabara Tegete A ni kero, kama wameshindwa kuboresha watuambie Wananchi tujichange

    Tatizo hata ukarabati unaofanyika hauna kiwango wanaenda kumwaga tu kifusi juu juu wanapiga hela wanaondoka mvua ikinyesha yanarudia pale pale mfano pia barabara ya kutoka bunju A mpaka madale ni mbovu sana ila ukarabati uliofanywa ni WA hali ya chini sana .
  3. JAPHA ED

    Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

    Usilalamike sana Bali shukuru hata umejenga maana biashara zina mambo mengi pia unaweza kukimbiza sana na zikaja kuporomoka ghafla ukajikuta hata hujajenga ulikuwa unakuza tu biashara.
  4. JAPHA ED

    Hivi vyuo vya kati kuna bata kama vyuo vikuu

    Vyuo vya kati ni sawa na secondary iliyochamka tu.
  5. JAPHA ED

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Maombi haya hayajafanyiwa kazi mteja ameomba mara ya kwanza Hadi amerudia mara ya pili mpaka Leo hajapata msaada naomba msaada tafadhali.
  6. JAPHA ED

    Nawezaje kupata Leseni ya Biashara ya online?

    Nimefika Hadi mwisho haijanipa control number mbona najaribu kushare picha hapa inanizingua kidogo
  7. JAPHA ED

    Nawezaje kupata Leseni ya Biashara ya online?

    Mbona inanishinda kutengeneza Akaunti
  8. JAPHA ED

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Ahsante ila nilitaka kujua rank za kamisheni zake na hizi za uwakala WA kawaida zinatofautiana kiwango gani.
  9. JAPHA ED

    Vinicius Junior Vs Ducapel Moloko, Nani Winga Mkali

    Acha kumfananisha Viniciuos Junior na Vitu vya ajabu ajabu wewe jina la huyu mwamba liheshimike.
  10. JAPHA ED

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Habari naomba kujua kamisheni za uwakala mkuu WA tigopesa mpesa AirtelMoney na Halotel kwa anayejua msaada tafadhali.
  11. JAPHA ED

    Serikali haioni kuwa RPC Geita kazidiwa na uhalifu au mpaka afe Kiongozi ndio mlijue?

    Mzee WA kipigo Cha mbwa koko arudi Tena kazini huko kungemfaa sana.
Back
Top Bottom