Vizuri hakika jamii forum inakua ni sehemu sahihi ya kuwasilisha malalamiko ila tatizo ukarabati unaofanyika pia unakua ni WA kiwango Cha chini sana mvua ikinyesha Tena inarudi kule kule ni vyema mamlaka husika zifanye jambo linalodumu.
Tatizo hata ukarabati unaofanyika hauna kiwango wanaenda kumwaga tu kifusi juu juu wanapiga hela wanaondoka mvua ikinyesha yanarudia pale pale mfano pia barabara ya kutoka bunju A mpaka madale ni mbovu sana ila ukarabati uliofanywa ni WA hali ya chini sana .
Usilalamike sana Bali shukuru hata umejenga maana biashara zina mambo mengi pia unaweza kukimbiza sana na zikaja kuporomoka ghafla ukajikuta hata hujajenga ulikuwa unakuza tu biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.