Muigizaji na mfanyabiashara maarufu nchini, Kajala Masanja, amefunguka kuhusu hisia za hofu alizozipata pale binti yake, Paula, aliposhika ujauzito.
Katika mahojiano kupitia kipindi cha mtandaoni cha A list, yaliyowekwa hewani katikati ya Septemba 2026 , Kajala alieleza kuwa alipatwa na woga...