Recent content by Jannatul Firdaus

  1. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenye ndoto ya kuendesha G-Wagon, aunda gari linalofanana muonekano ili kuishi ndoto zake

    kijana kutoka nchini Nigeria, Chukwudi Godday Eze, amekuwa gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanikiwa kutengeneza gari lenye muonekano wa kipekee unaofanana na gari la kifahari aina ya Mercedes-Benz G-Wagon kwa kutumia vifaa vya ndani. Chukwudi alianza mradi huo wa ubunifu akiwa...
  2. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Kajala; Paula Aliposhika Ujamzito Niliogopa P Angenipiga

    Muigizaji na mfanyabiashara maarufu nchini, Kajala Masanja, amefunguka kuhusu hisia za hofu alizozipata pale binti yake, Paula, aliposhika ujauzito. Katika mahojiano kupitia kipindi cha mtandaoni cha A list, yaliyowekwa hewani katikati ya Septemba 2026 , Kajala alieleza kuwa alipatwa na woga...
  3. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Tangu 2012 napambana ila bado bado

    ngoja nile kusapoti upambanaji wako
  4. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni kujimaliza
  5. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Odd 15 u free to select Booking code RE5OG8R
  6. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    BET WAY BET WAY BW72A914A1
  7. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Diva the Boss Ailipua Wasafi Media Akidai Stahiki Zake za Miezi Minne, akimtaja na Mwigulu Nchemba

    Mtangazaji mashuhuri wa habari na burudani, Diva the Boss , amejitokeza na kuishutumu waziwazi kampuni ya Wasafi Media kupitia ujumbe mzito alioochapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram mnamo Septemba 15, 2026 . Diva amechukua hatua hiyo ya kuweka wazi hisia zake ili kupaza sauti na kuiomba...
  8. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Sifa za wadada wanaoishi peke yao; Je wewe unaijua ipi

    Hizi ndizo sifa za wadada wanaoishi peke yao, zikiangazia tabia na maisha yao ya kila siku kwa njia ya utani na ukweli wa mitaani. Hawapendi Wageni: Akija mgeni ananuna na kufikiria ni saa ngapi ataondoka ili arudi kulala au kuangalia muvi. Kupika Mpaka Njaa Ikaribie Kuwaua: Mara nyingi...
  9. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania wangapi wamepitia hii

    Asilimia kubwa ya Millenium na Gen Z kizazi kisichokunywa chai asubuhi wamepitia hii. Wakishua hawawezi kuelewa . Asilimia kubwa ya jamii ambayo maisha yake ni ya kawaida , mtoto kuoga mpaka ashikiliwe huku na huku ndo aoge huku akisuguliwa kwa nguvu.
  10. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Madale: Mwananchi Rose Emmanuel na familia nyingine zaidi ya 20 walala nje kutokana na mgogoro wa ardhi

    Rose Emanuel(75) mkazi wa Madale, Kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam ambaye amekuwa akilala nje ya makazi yake kwa siku 12 tangu Septemba 3 baada ya nyumba yake pamoja na wakazi wengine kutoka kaya zaidi ya 20 kufungwa na wao kutolewa nje kutokana na mgogoro wa umiliki wa...
  11. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Saudi Arabia yazuia drones ya wahouthi iliyolenga kushambulia Makkah

    Vikosi vya ulinzi wa anga vya Saudi Arabia vimesema nchi hiyo imezuiwa droni ya Wahouthi karibu na Makka. Vikosi hivyo vya ulinzi wa anga vya Saudi Arabia vimesema viliizuia na kuiharibu droni hiyo iliyokuwa imerushwa na waasi wa Wahouthi kutoka Yemen. Kwa mujibu wa muungano unaoongozwa na...
  12. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobetto; Nilishamwambia mwanangu baba yako ni yule yule ila alikukataa

    Mwanamitindo na mfanyabiashara Hamisa Mobetto amefunguka kuhusu sababu za kutomhusisha mzazi mwenzake kwenye malezi ya mtoto wao Dylan, akibainisha kuwa alikataa mfumo wa malezi uliotawaliwa na masharti yasiyo ya haki pamoja na unyanyasaji wa hisia. Akieleza hali halisi ya uhusiano wao, Hamisa...
  13. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania MPYA Netanyahu Atoa Onyo Kali kwa Iran Katika Mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametoa onyo kali dhidi ya Iran, akitishia kuchukua hatua kali zaidi iwapo nchi hiyo itajihusisha moja kwa moja na mashambulizi ya makombora kwenye ardhi ya Israel. Onyo hili linakuja katikati ya kuongezeka kwa mvutano mkali kati ya Israel na kundi la...
Back
Top Bottom