Wanaume wa humu hamna kinyaa kweli mwanamke ambae anaweza lala na waume wanne kwa siku na wewe unatumbukiza dudu lako hapohapo si utakuta hiyo imetepeta balaa kiasi kwamba hadi mbu'' pu zinaingia na zenyewe mnaona raha gani kweli si bora mpige nyeto
Mda si mrefu ataanza kuingia jikoni kupika na kupakua ila mara nyingi tabia za utundu hurithiwa kwa wazazi embu waulize wazee wako ulikuwaje wewe wakati mtoto
Kuna kijiji niliishi miaka miwili usiku unatembea kwa step nyoka wa kila rangi wapo, mbu kama umemwagiwa, mtandao hadi utafute kilima ndo upige ukiingia ndani hupatikani, sokoni hadi siku ya mnada alhamis, umeme upo ila wanakata hata siku tatu nilichokipendea ni maji tu yalikuwa hayasumbui...
Huyo mdada katuangusha wenzie kwa kweli yaani unaenda logde huangalii hata kama imelipiwa au lah na chakula wala tu bila wasiwasi, mi nipo makini na hivyo hasa kama sijamjua vizuri mwanaume nahakikisha kalipia vyote na nauli yangu atoe kabla
Mi nikiona mwanaume simuelewi namtafutia mwenzie ule upendo naugawa katikati ili siku akitaka kuondoka aende tu kwa amani labda hela zake ndo zitaniuma kuzikosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.