Recent content by Jane Steven

  1. J

    New Season: Siwema amjibu Ney wa Mitego

    Kwanza hy Ney kwa vyvyt tu atajuta mn kwa maisha ya sasa hv kupata mwanamke wa kulea watoto wacyo wake ni kushukuru Mungu,na cdhani km atampata labda watalelewa na mama yake Na hapo ndo kwny utofauti kati ya she na he,kwavyovyote vile ubaya wa Ney hautaonekana Cwema ndo ataitwa Malaya ila...
  2. J

    Amezaa na mke wa mtu watoto watatu!

    Ulishawahi kuckia mwenye jogoo anaenda kudai mayai au vifaranga?? Kwanza kakosea kudate na mke wa mtu tena kwa ujacri akapata naye watoto3..atapigwa ka nyau huyo rafiki yk
  3. J

    Kipi ukipendacho kutoka kwa wasabato?

    Vyakula na Dawa za asili
  4. J

    Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

    Kuachwa ni kuachwa tu na maumivu hayatofautiani sn sema kuwekana wazi sababu za kuachana ni nzuri mn wawezajifunza ucrudie da same mistake hk uendako
  5. J

    Binti ajinyonga, Kisa kutoelewana na kugombana na mpenzi wake

    Kuumia hua naumia ila sitathubutu kujiua sababu ya mtu,ss nikifa ye c ataendelea kula raha??
  6. J

    Kuchukuliwa mke inauma

    Nyie ndo mlotufundisha kuchepuka mn kila cku cc ndo watu wa kuwasamehe tu km vile hatuna mioyo
  7. J

    Hivi ni kweli wanawake ving'ang'anizi ndio wanaoolewa?

    Mmmmh,cna comment kwakweli kwa hilo mn yashanikuta sn hayo hd nikahic nna nuksi na cjaumbwa kupendwa Ila wanaume wanaojijali saaaaana hawanaga mapenzi ya kweli mn huic usmart wao ndo kila kitu
  8. J

    Sio kila Mhaya ana dharau

    Umeongea point nzuri sn mkubwa,tabia ya mtu mmoja mmoja isiharibu Sifa ya kabila zima watu tupo tofauti
  9. J

    Yawezekana kuwepo urafiki usio wa kimahaba kati ya mwanaume na mwanamke?

    Nampenda as a best friend of mine,anajua mmb yng yooooote even a boy I date with na ht tukigombana ye ndo hua msuluhishaji wetu,hope umenisoma@polisi jamii
  10. J

    Yawezekana kuwepo urafiki usio wa kimahaba kati ya mwanaume na mwanamke?

    Upo dunia gani mtoa mada??unasema hakuna urafiki kati ya he na she??ur not seriousy kwakweli..mfano mzuri mi mwnyw best friend wng ni mvulana na hua ananishauri vizuri sn ppt nikumbwapo na tatizo na nnajivunia kua naye mn through yeye najua mng concerning wanaume
  11. J

    Nauza Mini Laptop kwa Tsh.270,000/=

    Kwanini umeamua kuiuza?
  12. J

    Wake zetu mpewapo lift msitafute mengineyo

    Hahahaha,nani anataka jakamoyo mpaka aamgalie sent items?cthubutu
  13. J

    Alinidanganya kuwa hana mtoto ila sasa kakubali kuwa anaye

    For sure 1 day you'll mic her,laiti ungejua alichokibeba moyoni mwake uxnge thubutu kufikiria hivyo..vilevile fikiria maisha atakayoishi baada ya hapo
  14. J

    Alinidanganya kuwa hana mtoto ila sasa kakubali kuwa anaye

    No kaka angu ucfikirie hivyo kamwe..hy Dada anakupenda sana sema inawezekana toka azalishwe alikua na wakati mgumu wa kupata mpenzi sababu tu ya kua na mtoto,kafanya hivyo ili acumizwe tena na alihic ndo njia pekee ya kurudusha furaha aliyoipoteza cku nyingi...pliz n pliz usimuache tafuta njia...
  15. J

    Emmanuel Mbasha: Flora ndiye anayejua ukweli baba wa mtoto aliyejifungua

    Duuuu,usanii mgumu hapo tu...yani cri na udhaifu wa ndani kwenye media??? cpendi maisha hayo kabisaaaa...ndoa ina changamoto zake nyng ila zikifika kwny media haziwezi kuisha mn ya ukweli na hata ya uongo husemwa!Mungu bariki ndoa za watoto wako
Back
Top Bottom