Mara kwa mara watu ambao wapo karibu ambao hawajachokozwa wala kutendewa ubaya wanawatendea wengine vibaya na wanafanikiwa. Bado Mm napata shida kujua, kwanini watu wabaya kama wazandiki, waongo, wachawi, mafisadi na wenye mizengwe wanafanikiwa wakati mungu yupo. Alafu kwenye kazi fulani wale...
Mabaarmaide wengi wa bongo wameshazeeka, kazaa mtoto/watoto katekezwa anakwenda kuwa baamarmaide. Nenda jangwani au mabibo Hostel utapata warembo, alafu ukionekana unanukia pesa ni ulimbo huo wananasa.
Mwezi 12 mwaka jana nchi za scandanavia zilitengeneza sheria hakuna mahusiano ya mapenzi kwa wawili ambao hawajaoana kazini. Mwaka huu imeanza kutumika. Mpaka kufikia hapo research nyingi zimefanyika. Ila kwangu Mm kama mrembo wa ukweli wa ofcn haijalishi namega tu na hata kuoa. Jambo lingine...
Utamsababishia midonda vya tumbo baadae utatoa pesa tena kwa matibabu, ebu kaa nae mweleze nini unatafanye kwako ili maisha yaende sawa. Alafu inaonesha shemeji amezidi uzito mpe mechi nyingi za uck apungue kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.