Recent content by jamiikalekwa

  1. jamiikalekwa

    Mama yangu adui yangu

    Jamani huruma sana yaani, hajui yajayo, mbona namuombea iwe kheri jamani!! Mganga tena au hata huyu Da Suzy nae ni ajenti wa mganga!!! Kalekwa
  2. jamiikalekwa

    Mama yangu adui yangu

    Mhh yaani nina hema mimi pekeyangu yaani nahisi kama vile Mzee Sambi atamtosa huyu Binti jamani!! yaani kama naogopa vile. Haya twasubiri tusikie.
  3. jamiikalekwa

    Mama yangu adui yangu

    Mh hii hadithi nzuri lakini inasikitisha pia. Jamani sijui itaendeleaje!!?? Karibu MziziMkavu uendelee.
  4. jamiikalekwa

    Uroho m'baya

    Ha ha ha jamani mbavu zangu, loooo uroho um'baya. Kalekwa
  5. jamiikalekwa

    vijimambo vya vyoo vya master bedroom

    Wana Jamvi yaani naomba kuongezea, maana hili limenigusa na sielewi. Mimi hapa Ofisini kwangu tuna choo cha girls na boys, yaani wafanya usafi always huwa wana lalamika kwa choo cha boys yaani WANAUME, kuna siku wakiingia hatupiti kwenye corridor. Hata hawa wakushusha mizigo yao hawa-flash. Juzi...
  6. jamiikalekwa

    Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

    Mhhhh sasa ina maana JICHO LA NG'OMBE ndio hatulisikii au?? mambo kwelikweli.
  7. jamiikalekwa

    Goli Moja Linatosha kutunga Mimba?

    "Jamani nisameheni, nimekaribishwa na leader, lakini natafuta hata pa kureply sioni" nikienda huko naambiwa hadi niwe na message tano!!. hili sasa ni jibu la kiongozi. Nashukuru sana, yaani nimerudi shule maana najifunza hata jinsi ya kutumia hii web, sijui ni ushamba wangu au nini, niliisha...
  8. jamiikalekwa

    Goli Moja Linatosha kutunga Mimba?

    "Jamani nisameheni, nimekaribishwa na leader, lakini natafuta hata pa kureply sioni" nikienda huko naambiwa hadi niwe na message tano!!. hili sasa ni jibu la kiongozi. Nashukuru sana, yaani nimerudi shule maana najifunza hata jinsi ya kutumia hii web, sijui ni ushamba wangu au nini, niliisha...
  9. jamiikalekwa

    Msaada wa mawazo

    Hi wana Jamii nashukuru kujiunga nanyi leo. Ahsante, mnivumilie pia ninapokosea maana ndio najifunza.
Back
Top Bottom