Recent content by jameszejie

  1. jameszejie

    Betry ya pc yangu inaonyesha inachaji but nikito charger tu inazima

    Hellow wanajamvi natumaini mko vizur,Naombeni msaada kwenu nina computer yangu Asus mwanzoni betri nilikua nikiichaji ilikua ina uwezo wa kukaa masaa manne lakin saizi naichaji inaonyesha inajaa hadi kufika asilimia 100 but nikiichomoa charger tu pc inazma sasa cjui tatizo nn cos haijanionyesha...
  2. jameszejie

    NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA MAHALI POPOTE

    samahani was JF natafuta mahali pa kufanya kazi ya kujitolea iwe ni bank au taasisi yoyote lengo ni kupata uzoefu .Elimu ya yangu in Diploma in business administration specialized in marketing naombeni msaada wenu namba zangu ni 0752348178 asanteni
  3. jameszejie

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Dokta tatizo langu ni kutokwa na mapele nikinyoa ndevu tu nimetumia after shave nying lakini bado naomba kama kuna njia au dawa ya kutumia Doctor
  4. jameszejie

    Vigezo gani niangalie kupata mwanamke wa maisha?

    Asanten sana wana Jf nimejifunza vingi kupitia comments zenu love u all
  5. jameszejie

    Habari za humu wana JF

    Mm pia in mwezenu
  6. jameszejie

    Vigezo gani niangalie kupata mwanamke wa maisha?

    Hello wana JF, Natumaini mko poa na tunaendelea kusapotiana kwenye mambo ya msingi, naombeni ushauri.Nilishakuwa na girlfriend mmoja ambaye nilitumaini anaweza kuja kuwa mke wangu kwa maana nilimpenda sana kutokana na ukarimu na upendo alionionyesha kwa muda huo ingawa kwa upande wangu sikuwa...
  7. jameszejie

    Kava ya wimbo

    Thanxx
  8. jameszejie

    Kava ya wimbo

    Samahani wana JF naomba mnijuze mwenye ujuzi was kuiwekea wimbo picha au kava pale unapouplay uwe unashow picha ambayo unaitaka iwe natanguliza shukrani zangu kwa mwenye hiyo knowledge
  9. jameszejie

    Msàada: PC haisomi simu kupitia usb cable!!

    Ndio flash no sawa ila kwa upande was cm kwa computer nying huwa in lazma uinstall drivers za usb
  10. jameszejie

    Windows 10 keys

    Sawa kaka ngoja nifanye hvo
  11. jameszejie

    Windows 10 keys

    Data zmegoma kaka
  12. jameszejie

    Windows 10 keys

    Asante kaka yangu ngja nijaribu nitakupa mrejesho
  13. jameszejie

    Msàada: PC haisomi simu kupitia usb cable!!

    Download USB DRIVERS na install kwenye pc yako
  14. jameszejie

    Windows 10 keys

    No kweli unaweza kuactivate windows 10 kwa kutumia kmspico lakini kuna some performance huwa zna miss ..Mwenye key za windows 10 enterprise msaada wana Jf
Back
Top Bottom