Hao wakitoa wanatarajia thawabu kwa Mungu sio sifa kwa binadamu. Labda ujivike sifa ya UMungu waanze kukutangazia kila wakitoa. Nenda singida ukaongee ujinga huo kuhusu MO usikie wananchi watakavyokujibu. Siku anatangaza kuwa hatagombea tena ubunge wananchi walikuwa wanalia. Kulikuwa hakuna mkoa...
Fanya Kazi ww komaa utoke unajua walivyo hustle kuutafuta huo utajiri. Na hapo ndio ujiulize kwann hata dingi yako hana pesa kuliko hao jamaa ingawa upo uwezekano kawazidi umri. Watu wanachangia kumbuka wengine ni waislamu hao Dini inawakataza kutoa kwa ria yaani kwakujionyesha. Akitoa sio...
Najaribu kuwaza kwa sauti hivi nikweli ajira za Tanzania hazitegemei elimu uliyonayo? Kama ndivyo nini maana ya serikali kufanya uhakiki wa vyeti kwa watumishi? Je uhakiki huu unawahusu viongozi wenye nyadhifa kubwa serikalini? Na kama hauwahusu kwanini? Na kama unawahusu kwanini kuna kigugumizi...
Sioni Chakumsifia rais hapa,, ulitegemea nani afanye wakati yy ndio rais? Unaanzaje kumsifu rais kwa mchango wa mil 20? Tuache ulimbukeni hiyo ni part ya Kazi yake, sioni sababu yakumsifu coz ametekeleza sehemu ndogo sana ya majukumu yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.