Recent content by jameskwene

  1. J

    Tanzia: Sethi (bikira wa kisukuma) amefariki dunia

    R.I.P Sent from my BLN-AL20 using JamiiForums mobile app
  2. J

    Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

    Dangote kiumri tayari yupo juu. Yafanishe maisha yake na ya watu wa umri wake. Watu wa umri wake hata hapa kwetu ndio maisha wanayoishi, hawana complications katika uvaaji, simu na vitu vingine vya ki-lifestyle. Usifananishe maisha yake na vijana. Siku zote vijana wanapenda kuwa na maisha ya...
  3. J

    Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

    Dah! Nasoma comments za wachangiaji ktk huu uzi mpaka inasikitisha aisee... Kama hali ya graduates ipo hivi sijui huko uraiani hali ikoje.
  4. J

    Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

    Tatizo wahusika wamekuwa wakimfumbia macho kwa muda mrefu, sasa anaona hachukuliwi hatua na ameamua kuvuka mipaka. Hii ni mbaya sana maana raisi ndio amebeba taswira ya nchi. Vyombo husika vifanye jitihada ya kuchukua hatua dhidi yake kwa kweli. This is too much
  5. J

    Darassa hii sasa too much, Wimbo wa 'Muziki' umetikisa Bongo nzima

    Mbona mnapenda kumshambulia sana huyu mtoto. Kila wimbo mzuri lzm ushindanishwe na nyimbo za Diamond. Huyu mtoto kawafanya nn?? Kwann usiseme wimbo Wa Muziki na Maisha ni mkali kuliko wimbo wa kajiandae??? Hii inanifanya niamini ule usemi unaosema "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe"
  6. J

    Bifu la Jokate na Flavian Matata linapamba moto chinichini, kisa?

    Huyo naye mpuuzi kwani hiyo idea ya mabegi ndio kaiona mpya. Mbona na yeye ameiga.
  7. J

    Nissani extra inauzwa

    Hiyo ukiagiza mpya mpaka tz ni around mil 15, sasa hiyo imeshatumika tena namba A eti mil 17. Dalali hapo umechemka!
  8. J

    MSIBA: Nimefiwa na Mama yangu mzazi

    Pole sana mkuu, Mwenyezi Mungu ailaze roho ya mama yetu mpendwa mahali pema peponi... Amina.
  9. J

    Taarifa ya Maafa ya Kagera kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu

    Fedha hazijaenda kwa wahusika ndio maana wahanga wa kagera wanalia kila siku au taarifa ya habari huangalii
  10. J

    Calisah ashikiliwa na polisi kwa kuvujisha picha za utupu za Wema Sepetu

    Ndio alaitaka kuwa Mheshimiwa mbunge
  11. J

    Haihitaji elimu kuelewa kuwa wasanii wananunua 'views' YouTube

    Mtasema mpaka kura tunazowapigia washiriki wa BBA zinanunuliwa
  12. J

    Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

    Hakuna kitu kama hiko, sio ukweli hata kidogo. Asitufanye watu wajinga.
Back
Top Bottom