Recent content by James Nsopa Mwansyemela

  1. James Nsopa Mwansyemela

    Nimemsikiliza CAG na nakubaliana na Mchungaji Msigwa Serikalini kuna Upigaji mkubwa kila mahali

    Hizi habari za CAG tulizimiss sana enzi za mwenda zake. Maana zilikuwa zinafichwa sana. Au kipindi hicho CAG hakuwepo, mbona hatukuwahi kusikia report kama hizi? Zaidi ya ile report ya CAG Assad yenye loss ya Trillion 1.5, ambayo nayo ilikaliwa na spika Ndungai bila kujadiriwa bungeni! Kweli...
  2. James Nsopa Mwansyemela

    Uzi maalumu wa kumpongeza Rais Samia kwa miaka miwili akiwa madarakani

    Mama anaupiga mwingi. Tena kimyakimya bila wapiga pambio kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
  3. James Nsopa Mwansyemela

    Abarikiwe aliyemleta Rais Samia Duniani

    Amina. Mama yuko vizuri. Kaliunganisha taifa tumekuwa kitu kimoja. Hamna kesi za kubambikiwa na vitisho vya hovyohovyo kutoka kwa wasiojulikana. Mama hakika ni kiongozi bora.
  4. James Nsopa Mwansyemela

    Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023

    Lkn tuende mbele na kurudi nyuma. Ni kwamba kenya democracy yao iko juu sana ya Tz labda nyakati hizi za Raisi Samia. Lkn ingekuwa Tanzania ya awamu ya tano kwa maandamano hayo ya kenya yawe kwa Magufuri, watu wengi wangepoteza maisha leo. Maana yule mtu alikuwa Mungu mtu.
  5. James Nsopa Mwansyemela

    Maadhimisho miaka miwili ya SSH ni wazi CCM na Serikali wanalazimisha shibe ya supu ya mawe

    Wewe ulieandika article hii. Ni mchochezi wa wananchi na serilikali yao. Ingekuwa enzi za Chuma ungepotezwa. Shukuru mama anaongoza nchi kidemocrasia sana.
  6. James Nsopa Mwansyemela

    Mary Chatanda: Sheria kali itungwe kupambana na Ushoga, ikiwezekana wahasiwe

    Mama nakuelewa sana. Utawala wako. Nchi imetulia vile vitisho vya kishamba sasa hatuvisikii!
  7. James Nsopa Mwansyemela

    Rais Samia na Demokrasia ya utawala kwa majadiliano na maafikiano

    Kabisa. Nami ni muumini wa democracy. Kwa umoja wa kitaifa ni muhimu sana. Kuliko kubagua watu na kutengeneza uaduhi ndani ya nchi moja kisa tofauti za mitazamo. Huo ni ushamba na ulozi kama kawaida. Tudumishe democrasia ndo upendo na umoja wa kitaifa.
  8. James Nsopa Mwansyemela

    Tuache unafiki, Tanzania hatuna tena heshima kimataifa

    Wenzenu wakutanike wakuu wa nchi nyie mnajivunia Balozi. Unadhani heshima ya balozi ni sawa na raisi? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. James Nsopa Mwansyemela

    Tuache unafiki, Tanzania hatuna tena heshima kimataifa

    Sio kujikomba bali tunautaka uhuru na haki kwa wote. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. James Nsopa Mwansyemela

    Tuache unafiki, Tanzania hatuna tena heshima kimataifa

    Labda mama huko atajifunza kitu. Maana maccm wanadhania matumbo yao ndo bora kuliko wengine. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. James Nsopa Mwansyemela

    Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

    Hutaki? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. James Nsopa Mwansyemela

    Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

    Hujitambui! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. James Nsopa Mwansyemela

    Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

    Uzuri ni kwamba Mahakama haina sikujua! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. James Nsopa Mwansyemela

    Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

    Ila angekuwa Magufuri ndo angekuwa ametoa? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. James Nsopa Mwansyemela

    Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

    Safi sana raisi wangu mpendwa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom