Magroup hayasababish ugumba ila tu RH group ndo inasababisha haemolytic disease of new born HDN Nayo kma haujafahama kama una group hlo ila ila kuna injection ya hyo HDN...
ADDITION ALLOWED
Nlikua naona post tu ngoja mshana aje ngoja mshana aje kwenye kila post ila now nimepata picha...
Bro mshana jr ur so unique coz wachache wenye uwezo wa kuskiliza kitu au sentensi na kuifafanua zaidi ya kiini chake..ingawa wenye uwezo mdogo wa kufikiri husema siasa au kiki but for realty wewe x...
Habari wana JF.
lengo lao sio kutuua kama wengi mnavyozani...
Lengo lao ni kuakikisha haundelei kiuchumi ili wao wachukue vitu wanavyotaka kwa kutudanganya wanatusaidia...
SOMA KITU UELEWE HALAFU UANZE. KUKICHANGANUA VIZURI
green revolution inatuumiza ukiifatilia
Sent using Jamii Forums...
Kama umesha jua kosa ni wap basi ni rahis kuziclear hzo sup na kuwa muwaz kwa wahusika tena usije jarib kuwaambia haukuwa serious kwnye msom hpo utajiaribia...na kila kitu kinawezekana
But pole pia
Safi sana Bro. ...maelezo yako yamenishawishi...coz dunia ya leo isingeshindikana kuzitambua hzo ingredients..na wanazijua ila jinsi ya kutumia ili kupata az a original coca cola ndo tatizo
Laboratory technology ni ngumu coz vitu vyake ni vidogo ila unaingia ndani sana...
Ila clinical medicine sio kiivyo coz vitu vingi ila unasoma juu...
NB laboratory ina deals na science behind
Wakat clinical inadeal na symptom sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.