Ushauri: Nataka kusoma Master of Public Health na Clinical Medicine Diploma kwa wakati mmoja

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Jan 22, 2014
576
263
Habari wakuu
Mimi nina Bachelor of science(education) chem&biol nimefikiria kuongeza wigo wa kielimu mwaka huu,kwa kubobea katika kada ya afya kwa kusoma Masters of public health by distance learning wakati huo huo nikiwa college nikisoma diploma in clinical medicine..ndani ya miaka 3 niweze kugraduate zote mbili ili kupunguza muda wa miaka..M.Public health kwa kawaida inatolewa kwa mwaka mmoja lakn kwa distance waweza kusoma modules kidogo kidogo mpaka kwa miaka 3.

Plan yangu ya baadae ni kufungua dispensary/clinic au Health center yangu mwenyewe..nnachotaka ushauri kwa wazoefu wa kozi mbili tajwa hapo juu je kuna uwezekano wa kuzimudu kwa pamoja hasa hiyo diploma nna shaka na mikiki yake cjaijua vizuri japo kwa juu juu sina wasi wasi sana na hyo masters kwan ntakuwa nachukua modules kdgo kdgo..japo wazoefu ndio watakaonipa hali halisi.

Asanteni na karibuni.
 
Kama we ni Genius unasogeza tu.. Mi kuna mwalimu wangu ni lecturer hapa chuo yeye alipiga Degree mbili kwa wakati mmoja. Computer Science na ya Taxation na akafaulu kwa viwango vya kustaajabisha. All were first class Degrees! Ukimuona huyo jamaa huwezi amini ni kamtu kadogo kenye miakili ya ajabu! Plus alikuja unganisha CPA(T) nayo akaing'oa.

So ni Akili yako tu mkuu. Yote yawezekana!
 
Inawezekana kabisa na ukagraduate vizuri lakini jiandae yafuatayo
1.Muda wa kutosha hasa kwenye clinical medicine kumbuka MPH ina mambo mengi ya kufanya tafti kwa hiyo siyo issue tu ya kufanya mitihani
2.Fedhaa uwe nayo ya kutosha!

3.Mshika mawili moja humponyoka,Clinical medicine unaweza kuikosa dakika za mwisho kwa sababu ya mitihani ya NACTE ,lakini naamini uniwezekan
 
Habari wakuu
Mimi nina Bachelor of science(education) chem&biol nimefikiria kuongeza wigo wa kielimu mwaka huu,kwa kubobea katika kada ya afya kwa kusoma Masters of public health by distance learning wakati huo huo nikiwa college nikisoma diploma in clinical medicine..ndani ya miaka 3 niweze kugraduate zote mbili ili kupunguza muda wa miaka..M.Public health kwa kawaida inatolewa kwa mwaka mmoja lakn kwa distance waweza kusoma modules kidogo kidogo mpaka kwa miaka 3.

Plan yangu ya baadae ni kufungua dispensary/clinic au Health center yangu mwenyewe..nnachotaka ushauri kwa wazoefu wa kozi mbili tajwa hapo juu je kuna uwezekano wa kuzimudu kwa pamoja hasa hiyo diploma nna shaka na mikiki yake cjaijua vizuri japo kwa juu juu sina wasi wasi sana na hyo masters kwan ntakuwa nachukua modules kdgo kdgo..japo wazoefu ndio watakaonipa hali halisi.

Asanteni na karibuni.
Umewaza vizuri ndugu fanya hivyo Hao wa clinical medicine Ata wasikugishe sio ngumu kiivo tena wew ushakua mwalim ata hautosumbuka sana cha muhimu uwe na muda wa kukutosha kusoma
 
Umewaza vizuri ndugu fanya hivyo Hao wa clinical medicine Ata wasikugishe sio ngumu kiivo tena wew ushakua mwalim ata hautosumbuka sana cha muhimu uwe na muda wa kukutosha kusoma
Sisi atumtish ila ni kwa nia nzuri....anglia matokeo ya juzi yalivyotoka na hao ndo wako darasani full time na clinical rotation za kutosha ila matokeo ni mabovu asikwambie mtu.....tena na sku izi mitaani inaenda kusahihishwa dodoma. .. weweee hpo ni janga
 
samahan wakuu out of topic kodogo,
kozi gani ni nondo kati ya clinical meds na laboratory techinology kwa ngazi zote kiujumla
Laboratory technology ni ngumu coz vitu vyake ni vidogo ila unaingia ndani sana...

Ila clinical medicine sio kiivyo coz vitu vingi ila unasoma juu...

NB laboratory ina deals na science behind
Wakat clinical inadeal na symptom sana
 
Habari wakuu
Mimi nina Bachelor of science(education) chem&biol nimefikiria kuongeza wigo wa kielimu mwaka huu,kwa kubobea katika kada ya afya kwa kusoma Masters of public health by distance learning wakati huo huo nikiwa college nikisoma diploma in clinical medicine..ndani ya miaka 3 niweze kugraduate zote mbili ili kupunguza muda wa miaka..M.Public health kwa kawaida inatolewa kwa mwaka mmoja lakn kwa distance waweza kusoma modules kidogo kidogo mpaka kwa miaka 3.

Plan yangu ya baadae ni kufungua dispensary/clinic au Health center yangu mwenyewe..nnachotaka ushauri kwa wazoefu wa kozi mbili tajwa hapo juu je kuna uwezekano wa kuzimudu kwa pamoja hasa hiyo diploma nna shaka na mikiki yake cjaijua vizuri japo kwa juu juu sina wasi wasi sana na hyo masters kwan ntakuwa nachukua modules kdgo kdgo..japo wazoefu ndio watakaonipa hali halisi.

Asanteni na karibuni.
Mi na bachelor ya education but now napiga diploma ya medical lab sio mchezo Aise but nipo mwaka wa tatu duuh inavitu vingi sana mambo ya afya yanahitaji muda
 
Habari wakuu
Mimi nina Bachelor of science(education) chem&biol nimefikiria kuongeza wigo wa kielimu mwaka huu,kwa kubobea katika kada ya afya kwa kusoma Masters of public health by distance learning wakati huo huo nikiwa college nikisoma diploma in clinical medicine..ndani ya miaka 3 niweze kugraduate zote mbili ili kupunguza muda wa miaka..M.Public health kwa kawaida inatolewa kwa mwaka mmoja lakn kwa distance waweza kusoma modules kidogo kidogo mpaka kwa miaka 3.

Plan yangu ya baadae ni kufungua dispensary/clinic au Health center yangu mwenyewe..nnachotaka ushauri kwa wazoefu wa kozi mbili tajwa hapo juu je kuna uwezekano wa kuzimudu kwa pamoja hasa hiyo diploma nna shaka na mikiki yake cjaijua vizuri japo kwa juu juu sina wasi wasi sana na hyo masters kwan ntakuwa nachukua modules kdgo kdgo..japo wazoefu ndio watakaonipa hali halisi.

Asanteni na karibuni.
Hongera sana kwa kuwa na maono makubwa kama hayo cha msingi ni kujipanga naamini utafikia malengo tu yako
 
Back
Top Bottom