Hebu tuwe utu na tusiandike tu kiushabiki hivi wewe unajua maisha yatu kuliko wengine umemuona Lema huyo sabaya anachofanya nisawa, ccm Arusha kuna mtu anajiitia jumanne ujusi anajulikana Arusha yote na kijana yake ni muuza Madawa ya kuleva yote serikali inaona hamuoni wewe mama yako wala...
Hakuna viongozi wa Dini wala taasisi za Dini bali ni saccos ,tuongeni ukweli hivi hizi taasisi Zina tija gani kwa waumini wao zaidi kuhubiria matoleo nakuwaogopesha watu
Ujue huu ni ujinga mtu awe mkuu wa Mkoa asifanye eti kuchaguliwa ubunge ndiyo afanye tena kwenye kampeni zake alikuwa anajidai anaongelea kero kibao mpaka nikajiuliza huyu ni mpizani au na alikuwa wapi kwani hizo kero hazijatatua akiwa mkuu wako au serikali yao ya ccm hakufanya
Baadhi ya Watanzania wenye vijeelimu vya kuunga au karisha wamekuwa wajikomba komba ili kuendesha family zao sasa huyo masanja na wewe paskali ndiyo maisha yenu hayo hivi kweli kuifiki kwa wake zenu unajiita wavulana au wanaume?
Sijaandika tu ila nachukia sana matendo yenu na maneno yenu...
Daaa huu ukoro sana hii nchi ina wasanii wengi sana yani basi tu japo sikitika kuona ujinga ndiyo unaendesha nchi. Mungu anisame sana maana sitaki kuona ccm maanayake watu wake sasa watu wako wamefetuka yani hii kujimwa elimu ndiyo madhara yote haya,japo tumetoka mbali sana hivi kipindi wambunge...
Hivi tafiti unaifahamu au ndiyo ile Tanzania kila mtu chief, boss, kamanda nk kwa maana kila mtu anaweza fanya tafiti maana hivyo yako mashirika utasikia tumefanya tafiti. Wewe hela ya kula chakula kweli unayo maana unavyosema umezunguka Tanzania nzima sizani unakazi ya kukupa kipato.
Hebu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.