Recent content by jamaliprint

  1. J

    Lawrence Mafuru umewakilisha vyema majivuno/maringo ya Wajita

    Nadhan Watanzania Ule ugojwa wa Njaa ya Ubongo unazidi kushika kasi Yaan unaingia Second line ,Me nilidhan unatoa Taarifa may Be Mafuru ni Mfanyabiashara ambae amepiga atua mbele toka alipo ,Kumbe unamzungumzia mtu alieajiriwa aisee kwamba muda wowote iyo kazi hana aisee Watanzania muda wa...
  2. J

    Naamini wenye Kujua Uongozi wa nchi ni ni CCM sasa Wanajuta!

    Tatizo kubwa la Watanzania Kuanzia waasisi wa Taifa ili ni Kwamba Tuna Njaa ya ubongo so nadhan mnaamini ni kwa jinsi gani ukiwa na njaa hautoweza kufikiri na kupanga mikakati yako respectively ,Watanzania sisi Tunaugojwa wa njaa ya Ubongo ndo maana kuna usaliti,chuki,wivu,roho...
  3. J

    Anatafutwa mtaalamu wa kumfanya mwizi arudishe mali aliyoiba

    Pemba kuna nini Jaman?Nifaamisheni maana kila mtu Pemba Pemab
  4. J

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Do you knomw meaning of VAT inclusive? Hakuna kupotosha Umma wewe fanya kununua Vocha then angalia kama salio lako kama unaeka tsh 1000 litapunguzwa ndo uje !thingz iko very straight wanaoumia ni wale wanaonunua through Mpesa,Tigopesa kuja kwa muda ya Maongezi
  5. J

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Vocha za kawaida Teyari ni VAT inclusive so we unanunua Vocha kwa Mangi we haukatwi iyo kitu ,Ila kwa ananunua muda wa maongezi from Tigo pesa uyo ndo anakatwa,
  6. J

    Madereva wa Harrier mna tabia moja, kujiamini kupitiliza

    Yan na Brevis alikuacha? Usirudiea Tena Sedan ni dawa ya pasua kichwa ao Jamaaa,ford explorer 2010 ni dawa zao
  7. J

    Madereva wa Harrier mna tabia moja, kujiamini kupitiliza

    Mpe Ligi ya kumbana ili waisome No,hata wakiwaga wazee tabia zile zile za Masasi shame on them
  8. J

    Rais Magufuli mpe kazi Makongoro Nyerere

    Makongoro anatumia Shisha tutampaje uwazir?
  9. J

    Serikali Ya Jamhuri ya Muungano ianze na mchakato kuanza kuchimba Madini yenyewekupitia (JWTZ)

    Ni muda sasa secta ya madini inazidi kuonekana kana kwamba aina mchango wa kuinua uchumi wa Tanzania ,kuna aina mbali mbali ya Madini kama Dhahabu,Tanzanite,almas,GreenGarnet,change colour,Blue Sappihier na mengine naomba serikali iache Policy haba ianze na sera mpya iifanye kushika Maeneo...
  10. J

    NATAFUTA GODOWN LA KUNUNUA

    0718-654070 nitafute
  11. J

    Namna ya kusitisha matumizi ya TIN namba TRA

    Andika barua kwa meneja wa TRa aliekaribu yako weka sababu ya kusababisha sales kushuka na ushaidi pia ambatanisha Tin no,leseni ya biashara ,Assessment ya kwanza uliopewa wakati unaenda omaba Tin ambayo inaonesha installement za baada ya miez 3 pia lisit zote za kodi watapokea maombi yako then...
  12. J

    ‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

    Kupanga safu ya kusaidia ushinde gori 3 ,uwa inaitaji weredi na busara kubwa,Kwa Mwendo huu nadhan anapanga safu afu safu iyo iyo inamwagusha efficiency is less than expectation!
  13. J

    Kimenuka Taifa: Mabomu ya machozi yarindima mechi ya Yanga na Simba

    Bado Tunatatizo na Marefarii wa Mechi zetu hawana viwango goli ilo la mkono kabisa lakini hata wasaidizi wa refa wamezubaaa kama Tende za mkwakwani aibu sana,
  14. J

    Serikali kuhakiki tena upya watumishi kwa mfumo wa kielektroniki

    Kuhusu ilo la kutambua nani alimpigia kura halina mashiko coz NEC kanuni inawaruhusu kuchoma material yote baada ya muda fulan na kama suala ya uchauguzi umekwisha so ilo ni kahawa tu ya mzee anjuani wa Tandale ,but serikali mfuko wake umetoboka sana afu matumizi yako rukuki so anachofanya is...
Back
Top Bottom