Ila ni kweli kabisa kuwa watanzania ni jamii ya kijinga sana, sasa kwa mfano hawa wote waliobandikwa hapa unajiuliza umaarufu wao ni nini na wanachangia nini katika jamii unakuta hamna kitu. Ndiyo maana CCM inawachezea sana akili ndugu zanguni, hamkeni jamani.
Ushasema Tanga, we angalia watu wa kule walivyo, haswa wanaume. Si mnamuona Jnuary Makamba na baba yake walivyo wa hovyo, wanaume wambea kuliko wnawake, maongezi yao kutwa kucha ni kuweta wenzao.
Huyu alinukuliwa sehemu akisema ukila muwa Bar mkundu unawasha na kuwaza kutafuta mtu wa kukukuna, labda aje kukataa leo hii ila aliyasema haya mwenyewe huku naye akijikuna hiyo sehemu kuashiria anawashwa na yeye.
Laana za Watanzania zinamtafuna, huwezi kuwa mwizi wa umma ukabaki salama, never. Huku mtaani mwizi kama yeye na genge lake tunawaua iweje yeye yupo tu anahema kama katoka kunaniliwaaa huku akiwadanganya walalahoi tena bila haibu?
Kuna vitabu vingine ni vya laana tu tunasingizia ni vya Mungu kumbe siyo, kama huyo dogo alikuwa anasoma Quran basi ni dhahiri kuna sheikh anajilia kisamvu hapo. By the way, dogo alivyokutamani na kukuomba umfile ukamwambia atulie kwanza, ulikuwa unawaza kumpeleka wapi pale Muhimbili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.