Recent content by Jalem

  1. J

    Naumia kumuona mtoto wangu

    Hebu wacha hayo, unaumia sawa lakini ungependa huyo mtoto auawe na huyo baba sababu ikiwa ni wewe? huwezi jua mwenzako akijua nn ataamua, anaweza kumuua mkewe kwa hasira, anaweza muacha mkewe juu ya ww, chunga uamuzi wako, wacha mtoto akuwe, kumbuka neno la Mungu linasema yaacheni magugu yakuwe...
  2. J

    Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

    Ni aibu kubwa kusikia habari kama hizi, kweli mkuu wa wilaya anaenda zindua Lift, jamani tunajiaibisha sn, nivitu ambavyo havihitaji kuelezwa kwenye kadamnasi, kwani ukijenga jengo kubwa huna haja kusema naleta lift watu wakiiona basi wanatumia, lkn huyu mkuu amekosa kazi anaenda kufanya kazi ya...
  3. J

    tunasonga mbele

    Nadhani hapo ni kiwanja cha ccm wanataka kujenga office yao, au bendera imepotea njia ikatua mahali c pake.
  4. J

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    Ndugu inauma, inauma Nilikuwa na mpenzi niliyempenda sn, tumekuwa nae mwaka wote 2013 tunakaa pamoja tunakula pamoja tukipanga kuelekea home kujitambulisha, siku isiyo najina, tukiwa tunatoka wote kwenye ukumbi fulani, kumbe amepanga najamaa kuwa watatoka wote, akaniaga kuwa anaenda lala kwa...
  5. J

    Uko tayari kumsaidia Mh. John Komba?

    Mwambie anipe namba ya simu yake nitamwambia nn chakufanya atafurahia hali yake wala haitamsumbua
  6. J

    picha ya siku

    Wadogo zako lazima wakuogope kwa Hekima na Maarifa Kibao na Hotuba yenye kutifua na Kupalilia EAC inayozungushwa na wababaishaji. Sikutegemea kusikia huyu ndugu tuliyemuweka madarakani anataka kutuweka pembeni, at COALITION OF THE WILLING, Unamaanisha TZ hawajaamua? M7 na M23 angalia sn wakati...
  7. J

    Tanzania yataja sababu za kutengwa katika jumuiya ya Afrika Mashariki!!

    Membe Viva Membe Kikwete Bravo! Shujaa wetu, tusiogope huo ni muungano wa mlima wa barafu tunavyo wajua wa Kenya watataka kuwazidi kete wa Nyarwanda na waganda hapo ndipo kepele! wataanza kuumana wao kwa wao, M23 tunawaonya sana wasalimishe silaha zao la tutaitifua hata ile nchi inayowasidia we...
  8. J

    SADC vs EAC

    Nawasikitikia watu wapendao kudharau wenzao, wakidhani bila wao wengine hawanywi maji au hawaishi? kama wanapenda tu bowdown at sababu ni eac basi watuache na sisi tunashukuru sadc wana moyo wa upendo na umoja kama wa tz kwahiyo basi kama noma na iwe noma!
  9. J

    Dr. Slaa Ndani Ya NASA. Aionya CCM Kwa Kuuwa Elimu na Ubunifu !

    Kama huwezi soma, hata picha huoni? kama tungekubali kuiga, viwanda vyakutisha vingekuwa TZ badala yake wanapeleka hela nje, sasa tutafika? Rostam Aziz anaishi nje na pesa zake, ni tajiri mkubwa je anashindwa nini kufanya mambo mkubwa jamani?
  10. J

    The Scoan Live Sunday Prayer Line

    Amen ndugu yangu, naomba sn msaada wako, je nitapataje maji ya baraka toka kwa Man of God TB Joshua? mm nipo nje ya TZ nisaidieni jamani
  11. J

    Hizi picha sio photoshop. Ni za ukweli kabisaaa!!!

    Mmh! Balaa zingine hizi, ninaogopa ninapoona, sasa yeye haogopi sijui yukoje huyu mwanamke.
  12. J

    Love connect Party

    Ni sawa lkn, huu uwanja ni uwanja wa mapambano, mkiweka wazi mkajuana hata majina yakweli kwa raha ya siku moja mjue mmejianika, mtafatiliwa na akina mwam...pamabazuko, ili mlipuliwe, better muendelee mkijua kukiwa jua au mvua mnaendelea kuchat, la wabaya watamjua kila mtu kwa jina lake halisi...
  13. J

    List ya mawaziri wetu wanaoweza kuongea fluent english

    Lugha hii ndogo sana bado wapo mawaziri hawawezi ongea je wanafunzi wa kidato chini ya elimu ya mawaziri hawa watawezaje? inasikitisha kusikia kuwa kunawazo la kutaka lugha ya uswazi ifundishiwe mpaka university hivi ni uji au ujinga vichwani mwetu? tutakuwa watumwa wa wakenya na waganda mpaka...
  14. J

    Obama akisalimia Mawaziri Wakuu Wastaafu, Waliofukuzwa, Waliomadarakani...

    10000 times Yeeeeeeeeeeeeeees, nalikubali san jembe la mgermani, bhana, ninajua akisema yello wou, makatibu na wakuu wa mikoa kiwewe, wanafagia barabara hata akina dp wanapita, huyu alitabiliwa na TB Joshua ni next presido wetu, amini usiamini ndiye kama hutaki angalia emmanuel tv au you tube...
Back
Top Bottom