Yaani PESA za fidia sijui zina nn, tathmini inafanyika leo, lakini malipo mpaka umalize ofisi zote za serikali.
Bado tuna Safari ndefu sana ya kufika huko tuendako kama nchi.
Nilisikia Jana msemaji mmoja wa kampuni kubwa ya mafuta duniani akisema, Hata kama njia ya Hormuz ikifunguliwa itachukua muda kidogo hali kuwa sawa, kwasababu kuna vitu vilitegwa sehemu mbalimbali kwenye maji wakati wa vita ( sijui ni mabomu) ambavyo ili vitolewe vyote unaweza chukua miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.