Aongeze mishahara ya nini ? Wakati vijana wengi wamemaliza vyuo na hawana ajira, bora pesa hizo awape kama 'capital' wafanyie biashara .Kwanini aliyenayo aongezewe?
Suala hili limenichekesha sana nilipotafakari haya maneno.1. jeneza iliwekwa mbele ya mwenye duka anayeuguza mama yake 2. jeneza tu limesabisha takriban viongozi wote waende kuliona 3. haraka ya wenye magari inasabisha wanalitelekeza na 4. Na mlinzi mara nyingi analinda mali inayotoka au kuibiwa...
We usilalamika sana mbona hata mama yako naye alitengana na baba akaenda msumbiji unafikiri hatukujui. Mpaka uliomba msaada serikali wakuandikie barua ya kumrudisha mamako iligonga mwamba ndo maana unamchukia komandoo
Hivi kwanini Wachina hawataki waislamu, India hawataki waislamu ,Amerika hawataki waislamu, Ulaya nzima hawataki waisiamu, Nigeria, Burkina faso, Afrika ya kati na hata Tanzania eneo la Kusini yaani Mtwara hawataki waislamu. Kulikoni ?? dini hii nzuri , waganga wengi wa kienyeji ni waislamu ...
Ahsante sana nafikiri we ndo mkurugenzi atakayetukoa .Ulongoni A iko Goms Dar es salaam ipo kati ya Goms na Kinyerezi
Ahsante sana nafikiri we ndo mkurugenzi atakayetukoa .Ulongoni A iko Goms Dar es salaam ipo kati ya Goms na Kinyerezi
Wakati wa mvua kubwa kunyesha .Daraja la Ulongoni A limekatika na kuua mzee moja aliyebeba mzigo mgongoni akijaribu kuvuka. Tunaomba Serikali ya CCM itusaidie kulijenga kwani diwani wetu ni wa CHADEMA !!
HE IS JUST RUBBISH NOTHING HE COULD ADD IN THE NATIONAL CEREMONY, BETTER FOR HIM TO JOIN WITH SOME TRAITORS . HE MAY JOIN WITH NATIONAL WANTED. LET US THROW HIM TO THE HELL OF CHADEMA
Mara nyingi watu ni magumu kuelewa JPM, mambo mengi anaongea kwa mtazamo na mengine ni ya ukweli hasa kwa mantiki ya kisiasa. Kwanza mtu kama wewe ambaye inaonekana uelewa wako ni mdogo unatakiwa ujue maana ya siasa, propaganga na kashkai hapo ndo utajua hotuba za JPM. Hata hao unaowaamini kama...
MLETA MADA UMELETA UZI MZURI SANA LAKINI WACHANGIAJI NDIYO HAWAPO NI MABUMBUAZI NA WENYE IQ NDOGO MNO. Labda hata mie najiuliza kila siku hapa tanzania kuna nini make ukienda hata hali ya hewa uongo ndiyo mwingi katika utabiri wao, kwanini serikali isisomeshe hata watu 5 tu USA ili tuwe na...
Poleni sana wapenda rushwa watu wasiopenda maendeleo. kwa Makonda mtaongea mpaka mweleze Lissu awaelezee kwa mabeberu wenu, hata mpewe award gani kutoka kwa mabwana zenu CCM bado ni kinara na Makonda bado ni mkuu pumbavu zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.