Upepo wa Arusha na Nairobi jana: Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti kama social media. Badilikeni

mbayumbayu

Senior Member
Jan 25, 2012
110
82
Nimefuatilia reporting ya tukio la upepo wa jana Arusha na maeneo kadhaa ya Kenya likiwemo jiji la Nairobi. TV za Tanzania zimeripoti kama social media.

TV za Kenya zimeenda mbali zaidi pamoja na kuwahoji wataalam wa Hali ya hewa kuelezea kilichotokea. Nimejiuliza vyombo vya kwetu vinashindwa vipi ku-balance habari zao?

Je, kuna gharama kubwa kufanya hivyo? Naomba kuelimishwa
 
kimbunga hichooo!
08433189f28ea4ea2e9daad545ece06b.jpg
 
Wa kwetu Kila Siku kwa mambosasa, huko ndio wameona kuna umuhimu.
 
Nimefuatilia reporting ya tukio la upepo wa jana Arusha na maeneo kadhaa ya Kenya likiwemo jiji la Nairobi. TV za Tanzania zimeripoti kama social media. TV za Kenya zimeenda mbali zaidi pamoja na kuwahoji wataalam wa Hali ya hewa kuelezea kilichotokea. Nimejiuliza vyombo vya kwetu vinashindwa vipi ku-balance habari zao? Je, kuna gharama kubwa kufanya hivyo? Naomba kuelimishwa
Niliangalia hii habari kupitia ITV nikaishia kusikitika. Licha ya kukosa uchambuzi hata kidogo, lakini hata ile reporting yenyewe ilikuwa finyu kama mkia wa mbuzi. Sijui wanafeli wapi!
 
MLETA MADA UMELETA UZI MZURI SANA LAKINI WACHANGIAJI NDIYO HAWAPO NI MABUMBUAZI NA WENYE IQ NDOGO MNO. Labda hata mie najiuliza kila siku hapa tanzania kuna nini make ukienda hata hali ya hewa uongo ndiyo mwingi katika utabiri wao, kwanini serikali isisomeshe hata watu 5 tu USA ili tuwe na uhakika katika mambo ya hali ya hewa hapa nchini ?, kwani kuna siku wapwani watavamiwa na dhoruba kali sana
 
Back
Top Bottom