Hizo ni changamoto za kawaida katika maisha. Naomba kukuuliza swali, umesema ulisoma bila mkopo, je ada na mahitaji mengine nani alikuwa anakulipia?.Hiyo pesa ya akiba uliipataje?
Ukifika Ubungo standi ya mkoa chukua bodaboda akupeleke mawasiliano(standi ya daladala,nauli isiwe zaidi buku jero. Panda daladala inayokwenda Makumbusho, mwambie konda kuwa unashuka Bamaga, nauli ni mianne tu. Ukishuka Bamaga chukua bodaboda atakupeleka NECTA, nauli ni buku tu.
Nilikisikia hivi karibuni kinaitwa Chuo kikuu cha Bagamoyo, makao yake makuu yako Mikocheni (Dar es Salaam). Nataka kufika ofisini kwao, niko Mwenge maeneo ya ITV, nimewauliza madereva wa Pikipiki na Bajaji hawapajui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.