Recent content by Jaja of Opobo

  1. J

    Jussa na uwezekano wa kuwa Rais Tanzania?...

    kasome katiba vizuri,makamu atakuwa rais kama rais ambaye yuko incapacitated kuendelea na kazi au kafariki baada ya kutumikia nusu ya uongozi wake,before that uchaguzi unarudiwa
  2. J

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Makene nyie ndo wazushi,mbona huyo slaa yuko kimya regardless ya hali hii ya sintofahamu kwa muda sasa? angalieni msifiche maradhi mauti itajawaumbua!!!
  3. J

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    hakuna jinsi,wacha aondoke tu,you must accept to loose so as to gain,ni lazima kurudi nyuma ili kwenda mbele kwa mshindo. ahsante dr slaa kwa utumishi wako uliotukuka na kukijenga kuwa chama bora,binafsi nakutakia kila kheri katika maisha mapya utakayoyachagua,kwa heri dr slaa,sisi tunaendelea...
  4. J

    Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    kwani hujui raia tanzania ni gazeti la zitt na membe??!!!!
  5. J

    Magufuri apokelewa na mashehe Chalinze

    hii habari imeoneshwa media gani?maana sas hivi kia tukifungua,kuwasha ama kufunua media yoyote habari ni laigwanan tu!!!
  6. J

    Zijue sababu za Benjamin Mkapa kumuunga mkono Lowassa

    wewe tu ndo hutaki kuiona hiyo ''collocation'' greencty. maana maneno hayo Mkapa kayatoa alipokua akihojiwa na ktuo cha televsheni cha Citizen kuhusana na kio cha rais Satta. Na kwa kweli alchosema kuhusiana na ndugu Lowassa ni kitu ambacho ni hakika. Lowassa amekua ni gumzo kwa watanzania...
  7. J

    Mh: Edward Lowassa: Elimu ni ukombozi kwa masikini, kutolewa bure hadi kidato cha nne

    Lowassa ana haiba ya uongozi na uwezo wa kutuongoza vyema,ukim-asses kwa alichofanya kabla huko nyuma katika uongozi wake basi hakuna wa kukosoa hili. namna alivyosimamia ujenzi wa shule za kata basi kunamfanya awe potential katka kukuza elimu yetu
  8. J

    Edward lowassa the coming president

    There is only one block to limit man from his ambitions and aspirations, only God can limit for he created downfalls and uprisings, if HE makes you stand no one will let you down. Most critics which i hear against Edward Lowassa for not to become the next top employer is that same story of...
  9. J

    Lowassa: Kwa kupitishwa sababu hizi kamati kuu (CC), May 2015 nagombea urais wa JMT

    naam kijana John Okello,namtazama Lowassa kama Mao Tsetung wa kule uchina,ndiye kiongozi anayekuja kuipa u-turn tanzania yetu katika nyanja zotentangu kiuchumi mpaka kisiasa. Lowassa ni aina ya kiongozi ambaye ana uwezo wa kusimamia kitu na kikawa. Nchi hii inahitaji rais kama huyo sasa. Jana tu...
  10. J

    Mh. Edward Lowassa na vita dhidi ya taaluma ya mitandao ya kijamii (troll)

    Nimevutiwa sana na tathmini ya "troll" maana imewajibu wengi wanaokesha mitandaoni "kumprovoke" ndugu Edward huku wakiukanyaga ukweli ili tu kuwafurahisha wanaowatuma. Kiukweli nimethibitisha kwamba ndugu Edward ni mtu mwenye haiba ya juu ya uongozi na kwamba ni mtu makini asiye...
  11. J

    Siasa ya ndoa ya jasmine ifikapo 2015 na mume atakaye mfaa.

    Hakika,Jasmini mwanamke huyu mrembo anahitaji mume bora,mume atakayempatia watoto wake elimu bora na bure,mume atakayempa afya bora na bure,mume atakayewapatia vijana wa jasmini ajira ya kutosha ili waondokane na adha hii waliyonayo sasa ya ukosefu wa ajira,mume atakayempa jasmin uhuru wa...
  12. J

    Mizengo Pinda anafaa kuwa rais wa nchi hii

    Naona ka-akaunti ka eskorow kameanza kuwafaidisha watu humu!! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  13. J

    Edward Lowassa: Mti uliyojaa matunda ya kheri na jinsi unavyopigwa mawe!

    Sikua navutiwa na harakati za urais mwakani kabisa lakini ghafla nimejikuta nikiwa interested nazo kwa sasa. Kilichonifanya nivutiwe nazo ni namna vijana mbalimbali hata mawaziri waastafu wanavyomshambulia waziri mkuu mstaafu ndugu Edward Lowassa. Nimekua nikitafakari je ndugu Edward ni mbaya...
Back
Top Bottom