Magufuri apokelewa na mashehe Chalinze

Magufuri apokelewa na mashehe Chalinze

tena kaa kimia na unafiki wenu kamwambie mzee wa mwembeyanga akusaidi kujua yaliyojiri siku hiyo,


Hakajanona tu tukatusue??

haha unachekesha kweli hasira za nini sasa??
 
Ila magufuli sioni kama ana chembe hata ya janjajanja machoni pake.

Namwombea apitie ndoo ya urais mapema october, Amen!!
 
ccm mabingwa wa kukata noa kisu chenu kilele katilia mbali shetani mwenye tamaa ya kuingia nyumba ya mungu kwa mlango wa nyuma,

Naona unakurupuka kama ngiri aliye kimbizwa
 
Mgombea Urais wa CCM ndugu JP Magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa Chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.

hii habari imeoneshwa media gani?maana sas hivi kia tukifungua,kuwasha ama kufunua media yoyote habari ni laigwanan tu!!!
 
Back
Top Bottom