Wewe ni hujui kitu katika swala la sheria,na pia hata ktk mambo ya kawaida ,inadhihirisha ni jinsi gani critical thinking kwako ni tusi. Nenda kaanze chekechea
Mnafiki mkubwa wewe,toka lini ccm wakaitakia mema chadema? Kwa taarifa yako Mbowe hatumuondowi ng'o! maana ametuongezea idadi ya wabunge na kura za urais,maana yake ruzuku ndani ya chama imeongezeka.Nenda shule wewe japo upate kadigrii kamoja pumbavu.liamua kuitosa na kumpigia debe Magufuli...
Kabla ya kujuwa alipo Sumaye unapaswa kujuwa kwanza alipo baba yako mzazi maana hiyo itakusaidia zaidi.u tumepiga kura sijawahi kumsikia akiongea chochote.
Mwenye taarifa zake tafadhali aziweke hapa.
Tumia akili wewe,hivi siri za serikali nani anazipeleka chadema?Tambua kuna watu ni wafanyakazi wa serikali lakini huchangia harakati za siasa za upinzani kwa siri sana.Namaanisha wanaofanya kazi nyeti za chama huwa hawajionyeshi hadharani.Acha ujinga wewe!!wa ni mtu mnene na msomi kwenye...
Hujuwi unachoongea,Lowasa mwenyewe pia ni mtu wa tiss.Acha ujinga wewe ! tumia critical thinking.neja wa Mamvi hahahah Maji hata uyachemshe vipi hayasahau kurudi kwny asili yake ya ubaridi Mzee Ngoyai alisahau kuwa usalama wa Taifa hawastaafu bali wanastaafu kuamka asubuhi na kwenda ofisini daily
Watanzania hatutaki maneno wala mbwembwe,Rais mwaka 2010 alimnadi Lowasa huko Monduli kuwa ni mtu safi bali alipata ajali ya kisiasa,sasa iweje leo asema si msafi? Na kama hivyo ndivyo kwanini hakuchukuwa hatua za kisheria? uwajibikaji hapo upo wapi? sasa kwa sisi wataalam wa saikolojia...
Wewe maggid haiwezekani ukasema kuwa Mbowe Mgwila wanachochea vurugu,hiyo siyo kweli bali serikali ndiyo inataka kuvuruga amani kwakukiuka sheria ya uchaguzi isemayo mtu akishapiga kura akae mita miambili. Sasa kama lengo lilikuwa kudumisha amani wangefuta kwanza sheria hiyo ndipo waseme kuwa...
Acha ujinga, wewe unatoka familia ya maskini wa pesa na akili ndiyo maana unashangaa fredy Lowasa kuwa tajiri.
yye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.
Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao...
Hivi kumbe mtu akiiba akiwa ndani ya ccm analindwa! ila akitoka anashitakiwa. Kwa hili ni dhahiri ccm inamfumo wa kifisadi,maana lowasa hakuchukuliwa hatua yoyote mara baada ya tukio,bali alisafishwa na raisi.Hapa ni chadema tu.
kimasomaso kumshitaki Lowassa.[/SIZE][/QUOT
UWEZO WA KUFIKIRI:Mtu yeyote anayemshabikia dr.slaa badala ya kuangalia mafanikio mapana ya chama na taifa kwa ujumla ni dhahiri ni mamuluki wa ccm au uwezo wake wa kufiri ni mdogo. Lengo la chama cha siasa ni kushika dola na si vinginevyo.Sasa kati ya slaa na lowasa ni yupi mwenye wafuasi...
ccm ni janga la kitaifa: Hivi sasa haya majamaa yana haha kutuma ujumbe ktk simu za watu ili kukipamba chama chao. Ukweli ccm wameshindwa kusoma alama za nyakati,maana asilimia kubwa ya watanzania hivi sasa hawafanyi mambo kimapokeo tena! bali hufanya kiyakinifu zaidi. Kwaheri ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.