MWACHE MAMA YETU AFANYE KAZI YA KUIFUNGUA NCHI MBONA MTANGULIZI NAYE ALISEMAGA WASTAFU WANAWASHWA PIA WAMESABABISHA MATATIZO ANAYOSUMBUKA NAYO.MAMENO YAPO NA DAWA YAKE KUYASEMA NDO NAFSI HUTULIA WEWE YANAWEZA KUKUKERA ILA WENGINE WANAFURAHI NANI ASISEMWE NA BINADAMU YESU MWENYEWE ALISEMWA...
Ndugu Muombe Mungu kila asubuhi unapoanza biashara Mungu ndiye Muweza yote kama watu wanatumia mashetani kuleta mvuta katika biashara wewe mtumie Mungu muumba mbingu na ardhi atakusaidia sana jua biashara ni imani imani yako ipo wapi ? Mwamini Mungu utaniambia
Ni dalili za kurudi kwa Yesu kuchukua waliomwamini lazima injili imfikie kila mtu hata kama hupendi lazima usikie ili siku ya hukumu usije lalamika sikusikia ndo mabango hayo kero lakini umeelewa kuna mkutano nenda kasikilize yatakusaidia sana ingawaje yanakukera kwa sasa ipo siku utatakumbuka...
Mheshimia Rais wetu anafanya kazi nzuri sana tuzidi kumuombea Mungu amfanikishe yale aliyodhamiria kuyafanya ktk nchi hii nyie mnao laumu kila jambo fanyeni kazi mama ndiye Raisi wetu Mungu wa mbinguni amemuweka ikulu kwa makusudi ataongoza atakuja mwingine jukumu letu ni kumuomba Mungu...
Aliweza kwa sababu alipunguza wafanyakazi kwa issue ya vyeti,pia alibana matumizi kwa kuzuia safari za nje na ndani,alizuia semina na posho,pia aliwashushia mishahara wenye mishahara zaidi ya 15m pia alizuia ongezeko la mishahara kila mwaka ,alikusanya gawio kwa mashirika ndo maana aliweza
DOCTOR BINGWA BINGWA WA HAYO NI YESU UTARATIBU WAKE NI KUMWAMINI NA KUMKIRI KWA KINYWA CHAKO KISHA UTAMWAMBIA TATIZO ATAPONA BILA WEWE KUTOA HELA.HUDUMA YAKE NI BURE ILA UMWAMINI NA KUACHA DHAMBI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.