Recent content by jahson

  1. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    zoezi limeisha, jana nimeenda TRA, reception tu kuna barua baadhi, na zingine zishatumwa mikoani na chumba na 27 kinazo chache pia,,,,, but nilikua miongoni mwa ambao hawakufanikiwa. pale nilipo danganya simu yangu ilikua haipatikani so nimekuja fanya confirmation na kujibiwa wote tuliowapigia...
  2. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Mim naamini bado wanapiga simu sidhani kama wamemaliza...
  3. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    HONGERA SANA, Kwani umeitwa kwa position gani? nataka nijue kama wanaita kwa position position na sio random mana jana watu wengi walioitwa walikua wa position ya tax
  4. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Tax 150 preventive 77 custom 73 Total 300................Numerology, just numbers with no meanings.
  5. J

    Utumishi mtuangalie na sisi wa mikoani!

    kwani kwa upande wa finance officer grade ii wanaitaji watu wangapi!
  6. J

    Agano la damu katika mapenzi lina madhara gani?

    Kiapo hicho kinafutika kwa kutumia kiapo kikubwa zaidi..
  7. J

    Ushauri nataka fungua duka dogo la vifaa vya umeme na ujenzi mkoani Morogoro

    Mim ni graduate na Sina uzoefu wa hiyo biashara, lakini ndo biashara niliyo amua niifanye, naomba ushauri kwa wenye uzoefu nayo na kwa kua mtaji wangu ni mdogo. Naomba ushauri nianze na vitu gani na pia kwa wanao ijua moro vizuri wanaweza nishauri na sehemu pia..na pia sehemu gani ntafunga...
  8. J

    Tanzania Institute of Bankers (TIOB)

    Kwa kweli mitiani ya cpb ni ya kawaida sana waweza chomoa yote,,
  9. J

    Updates from PPF

    kuna rafiki yangu kaitwa kesho sa nane mchana..
  10. J

    Uhamiaji updates..

    Andika kiswahili vizuri, hatujui hata unacho maanisha!
  11. J

    Biashara Gani Ina faida Nzuri?

    biashara yoyote ambayo inahusu utoaji wa huduma inaweza kukupatia 20,000 au zaidi ya hapo,,,,, fungua hair cutting saloon, au kupaka rangi na kuchonga kucha wakinadada, au kasomee ku deal na nywele za watoto wa kike utapiga zaidi ata ya mia kwa siku,,, The profit issue and capital budgeting and...
  12. J

    Biashara Gani Ina faida Nzuri?

    biashara yoyote ambayo inahusu utoaji wa huduma inaweza kukupatia 20,000 au zaidi ya hapo,,,,, fungua hair cutting saloon, au kupaka rangi na kuchonga kucha wakinadada, au kasomee ku deal na nywele za watoto wa kike utapiga zaidi ata ya mia kwa siku,,, The profit issue and capital budgeting and...
Back
Top Bottom