Mahakama ni serikali tawala na mtawala ni nkurunzinza liwalo na liwe,subiri mziki wa kina rwasa na wafuasi wake, yaani ni kutia kiberiti kwenye tanki la petroli,tusubiri tuone
Atatoka tu kuna kina rwasa,buyoya,wote wanaconection na jeshi hakuna cha uhutu wala utusi next president wa burundi atakuwa muhutu.mchezo utakuwa hivi kesi itaenda mahakamani na mahakama itamruhusu kugombea kwa sababu mahakama ni serikali tawala na yeye ndiye mtawala.hapo ndipo kinanuka you wait...
Siasa ni usanii ka usanii mwingine tu, 99.9 of all mothefucking politicians in the world mind their fuckin pockets first ni rahisi kwenye nchi zetu za kimasikini. Fool few poor people you will get your vote and poor does not have to be financial kuna matajiri but akili zao za kimasikini.imagine...
tanzanians defending their territory in south africa using guns and curbs,hatuna huo ubavu sisi kazi yetu ni kujificha na kutumia mdomo wetu kiujanjaujanja tukiwaona wanakuja tunatimka kama wapinzani wa ccm wakiwaona FFU.wala tusiombe hata sikumoja kuanzisha ugomvi na wazawa wa kizazi cha...
Kitu kimoja nimekigundua some of us tnazanians ni waoga sana lazima tujifunze ushindani na tujiamini mbona wahindi na warabu kibao tu wanapasipoti za kibongo kiirani kipakistan whats wrong with another brother coming to your country, tusipoangalia tutakuwa wapumbavu kama wasauzi
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 niliondoka tanzania nikiwa bado sijafikisha miaka ishirini so sijawa sana na uhusiano na wasichana wa nyumbani kwa muda wa zaidi ya miaka kumi na mbili.
Uhusiano niliozoea ni wa wanawake wa Kizungu inshort sijawahi kula K ya Kiafrika toka nimetoka...
to be colonized for too long can turn you into a complete twat.hata sisi wabongo tumetawaliwa sana na ccm ndio maana sisi wapumbavu tofauti yetu ni kwamba atuchomi watu moto
Nchi yangu hakuna kisichowezakana mbele ya mkoloni ccm,good examples ntu anaua siku ya kesi anaingilia mlango anoingilia hakimu na anashinda kesi, watu wanaiba pesa ikulu inawaambia wazirudishe kidogokidogo,wananchi wakilalamika sana wanaletewa skendo kuna babu anatibu ukimwi wanasahau mchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.