Burundi hatarini kurudi vitani

Burundi hatarini kurudi vitani

Nimegundua humu kuna wachagadema wengi akili zao ni kama za Watusi!!!!! Wanataka kutawala kwa vita!!!
 
Nimegundua humu kuna wachagadema wengi akili zao ni kama za Watusi!!!!! Wanataka kutawala kwa vita!!!

Akiri kama hizi ndizo zilinifanya mimi na familia yangu tuichukie sana Ccm.Siwezi kushirikiana na mbaguzi au mdini,nisawa na mchawi.Hii dhambi itawatafuna mpaka vizazi vyenu.Wewe kwa akiri zako fupi unaona kila anayepinga uhuni kama wa Ccm inaofanya'basi ni Mchagga au Chadema?.Hata huyo Mchagga hii nchi sio yake?.Nakusikitikia sana kwa kukosa akili japo hata za mbuzi
 
Africa ina utaratibu wao wa kutawala kuna makabila ambayo hayatakiwi kutawala kabisaa !! Wakiwemo chagadema!! Hii habari ya wazungu kutufundisha kutawala ni upuuzi mkubwa Africa.nenda uingereza mtawala ni malkia lini amepigiwa kura !!!??? Itabaki hivyo milele !!! Hiyo ndiyo demokrasia ???Uhuru wa demokrasia uko wapi!!?? Leo hii hao waingereza wametapakaa Africa na Tanzania eti wanafatilia Uhuru wa demokrasia !!!! Upuuzi kabisa!!!!
 
never ask an empty stomach for a political opinion. POleni BUrundi
 
Atatoka tu kuna kina rwasa,buyoya,wote wanaconection na jeshi hakuna cha uhutu wala utusi next president wa burundi atakuwa muhutu.mchezo utakuwa hivi kesi itaenda mahakamani na mahakama itamruhusu kugombea kwa sababu mahakama ni serikali tawala na yeye ndiye mtawala.hapo ndipo kinanuka you wait and see
 
East Africa nzima italipuka...Naambiwa Kagame na Mu7 nao wana mpango wa kuongeza muda...

Ya Museveni mbona iko wazi. Anasema Uganda hakuna zaidi yake. Kagame itabidi abadili katiba ili aendelee.
 
Back
Top Bottom