Sawa, kama umeweka hiyo mistari ya Biblia kuonyesha tu kwamba dhana ya uchawi ni ya kale, basi hilo halijibu swali la msingi: uchawi ulianza wapi, nani aliufundisha, na kwa kusudi gani?
Qur’an haisemi kwamba uchawi ulianzishwa na Mungu. Badala yake, Qur’an 2:102 inataja kwamba watu walijifunza...