Recent content by Jagina

  1. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Mwalimu Nyerere: "...Ningekuwa na uwezo ningeitupa Zanzibar Baharini" | JamiiForums Tanzania https://share.google/KALg1vnR81kK2RxdJ
  2. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Hizo ni nyimbo Za watu wanaoamini mipasho. Zanzibar ilikuwa na serikali yake na utamaduni wake. Nyerere na chuki zake Za uislamu alisema zamani tokea 1050s kuwa angalikuwa na uwezo angalivivurumisha hivi visiwa huko bahari kuu. Ushahidi upo
  3. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Waingereza walishiriki katika kuiangusha serikali halali iliyochaguliwa na wananchi 1963. Ushahidi upo. Pia walisema zamani tolka 1950s kuwa hawatoruhusu Zanzibar kuwa peke yake huru. Soma kitabu kwaheri huru kwaheri ukoloni
  4. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Maneno hayo tumeyasikia sana ni Kama machozi ya mamba analia na huku anakutafuna. Kero kubwa ya muungano ni namna ya Huo muungano Wenyewe ulivyoanzishwa. Kiukweli tusidanganyane , Hakuna muungano wa watu milioni 60 na milioni 1 na nusu Huo ni uvamizi na tunaona namna jeshi la Tanganyika...
  5. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Nyerere alikuwa analipa fadhila kwa waingereza ambao walimweka madarakani baada ya kupinduliwa na wanajeshi. Waingereza walitaka Zanzibar idhibitiwe na itoweke Kama ilivhotoweka Palestina. Hizo zikawa ni mbinu Za kwanza Za kuiua Tanganyika na baadaye itayofuata ni Zanzibar. Na alianza kwa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu anaitwa Mungu na hakuitwa jina lingine? Kama Shetani ni mharibifu kwanini aliachwa hai?

    Kusema “Shetani hayupo kwa sababu mimi sikubaliani naye” si uthibitisho wa kutokuwepo kwake. Swali lako ni la msingi: ni ushahidi gani unaothibitisha uwepo wa Shetani? Kwa mtazamo wa Kiislamu, ushahidi unatokana na ufunuo: Qur’an inamtaja Ibilisi na inaeleza wazi kwamba yeye ni miongoni mwa...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kuimarishwa maradufu siku ya hukumu ya kesi ya uhaini.

    ICC ni unafiki tu , wangeanza kumkamata Sisi wa Misri pamoja na Nyetanyahu
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu anaitwa Mungu na hakuitwa jina lingine? Kama Shetani ni mharibifu kwanini aliachwa hai?

    Mkuu, maswali yako ni mazuri na yanaweza kujibiwa kama ifuatavyo. 1. Kwa nini Mungu aliitwa Mungu, na nani alimpa jina? Katika Uislamu, “Allah” si jina alilopewa na mwanadamu; ni jina ambalo Mungu Mwenyewe amejitambulisha nalo katika Qur’an: “Hakika Mimi ni Allah; hakuna mungu ila Mimi.”...
  9. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Na kwa nini kusiwe na serika mbili , ya Tanganyika na ya Zanzibar kila moja ikashughulika na nchi yake . Tukarudi kama zamani kwenye jumuia ya Afrika Mashariki ? . hakuna muungano wa nchi yenye watu milioni moja na nusu pamoja na nchi yenye watu milioni 60 , Huo ni uvamizi wa wazi
  10. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Kwa sababu ni matukufu kwa hao wanayoyaita kwa vile wamepata nafasi ya kunyonya asali na kula kwa urefu wa kamba zao. wakisaidiwa na Tanganyika , ushahidi uchaguzi wa 2015 under Jecha. Jeshi la Tanganyika lilimlazimisha Jecha kufuta uchaguzi
  11. J

    JamiiForums Tanzania KITENDAWILI CHA MKWAWA SEC: Kwa Nini Nyerere Alifuta Utemi Bara (Moshi, Bukoba, Mbeya) Lakini Akaihifadhi SMZ ya Zanzibar?

    Huu uvamizi wa Nyerere kwa Zanzibar uliopewa jina la muungano ni hasara kubwa kwa Zanzibar na Tanganyika yenyewe. Mimi naona huu ni wakati wa kutafakari na kurudi kwenye uasili wa nchi zetu. Tanganyika ibaki na uTanganyika wake na Zanzibar irudi iwe nchi kama nchi nyengine. Tuendeleze ujirani...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Nimekuelewa mkuu. Sikusema kwamba wewe unaamini uchawi wala kwamba mistari uliyoweka ina maana unakubaliana nao. Hoja yangu ilikuwa kwenye swali la chanzo na uhalisia wa uchawi, kwa sababu ulisema dhana hiyo ilianza zamani sana na kwamba baadhi ya mambo yanayoitwa uchawi yanaweza kuwa ya...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Sawa, kama umeweka hiyo mistari ya Biblia kuonyesha tu kwamba dhana ya uchawi ni ya kale, basi hilo halijibu swali la msingi: uchawi ulianza wapi, nani aliufundisha, na kwa kusudi gani? Qur’an haisemi kwamba uchawi ulianzishwa na Mungu. Badala yake, Qur’an 2:102 inataja kwamba watu walijifunza...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Uislamu unaaminiwa ni dini moja kwa walimwengu wote

    Umeleta swali kuhusu chanzo cha majini, lakini nukuu yako ya Ufunuo 12 haithibitishi kwamba Qur’an imekopi fundisho hilo kutoka Biblia. Qur’an inasema wazi: Na Qur’an inaeleza kwamba miongoni mwa majini kuna waislamu na wasiokuwa waislamu: Sasa angalia Biblia : Ufunuo 12:7–9 unaongelea...
Back
Top Bottom