Mbona umeanza kuwa chizi , hata unachokiandika unakijuwa ?? Au unakopia na kumwaga kama uharo , Soma mwenyewe chizi , baadaye ujijibu mwenyewe hili haro lako:p:p:p:p
Mbona unasema kuanzia mwaka jana CCM walimwaga damu hivi ile damu kuanzia 1995 mpaka 2020 iliyomwagwa Zanzibar si ya watu ? Wenye damu ni wa tanganyika tu ??
Huo ukomunisti wako uliusomea nchi gani? Hicho ni kitabu kipi cha ukomunisti kinasema hivyo ?
Usituletee chipwi la wachungaji wako akina Gwajima na marehemu Pengo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.