Recent content by jagabule

  1. J

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Tatizo nklpia ntakuwa nyuma sana au unaanzia mwanzo?
  2. J

    DOKEZO Responded Kodi ya majengo kupitia luku baadhi ya watu wanaumia Kwa kuibiwa

    Uko sahihi kabisa mkuu mm Leo hii nmelipa 6000 wkt kila mwezi nakata jengo
  3. J

    Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

    Sababu kubwa hao Maboss awaoni nje ya hao wanawake uliowataka. Tusiokuwa Maboss tunakula vzr sana ukiondoa Udomo Zege
  4. J

    Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

    Nawewe kataa ndg zake
  5. J

    Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

    Mkilikataa LA MAJALIWA kuwa ONE MAN SHOW mtalisadki LA NYERERE kuwa mgombea UHURU pekeake
  6. J

    Nimeshindwa kulifungua begi la marehemu Mama yangu

    Kaka yng kaza roho jua kila nafsi itarudi kwa muumba wake. Mm mwaka 2015 mwezi wa 3 mama yng aliaga dunia kibaya zaid nilkuwa nje ya nchi kabla ya kuondoka kwenda nje nlkuwa naishi nae nlmuuguza mpaka alpopona kbsa nkasafiri baadae alfarki nikiwa sipo, najua maumivu yake ila kuwa Mwanaume sasa...
  7. J

    Bei za mafuta Afrika Kusini (SA) zashuka

    Ukipga hesabu R25 x 150 utapata 3750 bado kwetu kuna kaunafuu kdogo
  8. J

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Punguza hasira mkuu. Mshereheshaji yupo ZENJI
  9. J

    Milioni moja(1,000,000) kama kifuta jasho kwa atayenifanikishia ajira hii.

    Dah!!! Kwa style hyo lazima ukose kazi mkuu una 1 million kisha unataka connection.. Kweli vijana cc wa ktz alietuloga ametupatia
  10. J

    TANESCO sio haki walioleta fomu zamani kulipishwa bei mpya

    Nynyi tanesco mmekuwa viburi sana sasa HV hyo EWURA kwan aikuwepo kipindi cha Hayati MAGUFURI mtetea wanyonge
  11. J

    Huyu nyuki bado sijamuelewa

    Soon unakuwa SPIDER MAN
  12. J

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Hamna taratibu zozote nyinyi ni jipu..UBENANI(Vikindu)..mwaka huu nguzo tano kutuletea ili baadhi ya nyumba ziwake umeme hamtaki kweli Mwenye nyumba kafa tambeni tu
  13. J

    Nilichofanya leo Mlimani City

    ww hapo kilichokutisha ni hiyo kanzu na ndevu tu huna lingne mkuu
Back
Top Bottom