kaka wapo wengi hao chukua mkwanja wako huo hata akikubali muoane atakusumbua huyo kk akili ya kuambiwa changanya na yako[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sasa mkuu mwarabu anatoka kweli tabora, huyo ni mswahili kama waswahili wengne tofaut yao ni rangi. Nenda Oman utapata waarabu [emoji125] [emoji125] [emoji125]
yaan ww mpaka umefkia umri wa kutoa habari kama hiyo humu bado unaishi na wazazi..? jua hao wazazi wako wamekuchoka wanakufukuza kivitendo[emoji125] [emoji125] [emoji125]
mkuu mtoa bandiko hata moto mbingu kwa mola wetu unatofautiana upo jahanamu na mioto mngine so hapo kwenye sofa jekundu ni sawa na kwa mtogole na alipokaa DR. Slaa ni sawa na masaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.