Recent content by jaffari odhiambo

  1. J

    JamiiForums Tanzania Pesa ndio kila kitu kweli?

    Kwa mchaga pesa ni kila kitu kwao sasa unaposema sio kila kitu wanaweza kukupa hata kipondo.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Mvua ya Samaki yanyesha Sri Lanka

    Hayo ni maajabu ya dunia
  3. J

    JamiiForums Tanzania Majina gani unique au ya ajabu JF

    Masai dada, miss chaga na Chokonoa
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

    Nini hasa chanzo cha kumpiga? Kama kweli ni mwanajeshi basi kazi ipo kwa hao polisi na wataiona dunia chungu sana lakini kama hakuwa mwanajeshi basi kipondo atapata kikali zaidi ya hapo .
  5. J

    JamiiForums Tanzania Dr. Ray Simon Mpina (surgeon) afariki dunia

    May his soul R.I.P
  6. J

    JamiiForums Tanzania Pesa ndio kila kitu kweli?

    Kama ni kila kitu mbona wenye pesa wameshindwa kuhonga kifo?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Maisha ni watu lakini kuwa muangalifu nao.

    Funzo tosha kabisa maana kuna binadamu na viatu na hata uwe mwema kiasi gani lakini du!
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mtoto HAWA MOHAMMED atoweka na kitita cha 93 000/=

    Heheheeee kumbe alikuwa mwizi huyo.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kesho ni uchaguzi afrika kusini

    Tunasubiria matokeo
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nini Majukumu ya Mbunge kwa wapiga kura wake?

    Kazi yao ni kula pesa maana majimboni kwao kuna matatizo lukuki lakini hawaendi huko kusikiliza kero. Jakaya awafukuze waende majimboni sio kukaa Dom na Dar bila kazi.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Je, hii ni halali kwa askari wa wanyama pori?

    Kwa nini waue hao ng'ombe kikatili hivyo? Ina maana walishindwa kumshitaki mwenye ng'ombe? Ama ni hasira baada ya jamaa kukataa kutoa hongo? Ama kweli hii ni hatari sana.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Airtel mnanikera sana.

    Ati Airtel baba lao wapi na wapi? Wao kwa sasa ni kero tupu.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Tuige hii desturi ya wachaga

    Wachaga kama wale wa machame wanawake huua wanaume wao ili mali iwabakie. Wachaga wanajua sana pesa hata mtoto mdogo ni balaa hawa watu maana hawana mchezo
  14. J

    JamiiForums Tanzania Uzee sasa basi, wamerekani wagundua dawa

    Sasa kama wana uwezo huo. mbona dawa ya ukimwi wameshindwa kupata?
  15. J

    JamiiForums Tanzania Polisi kanda maalum ya TARIME-RORYA sasa yaamua kukabiliana na wezi.

    Huko Tarime na Rorya wezi ni wakurya
Back
Top Bottom